Kama kuna mtu anataka kiwanja Arusha tuwasiliane.nina viwanja sita nauza vina hati miliki.
Maeneo ni zamani kukiitwa olkerian sasa imeingizwa kata ya moshono baada ya Arusha kuwa jiji, mwanzoni eneo hili lilikuwa Arumeru.
Ukubwa kuanzia square mita 800 na kuendelea
Bei kuanzia milioni kumi...
Kama ni martaa tu ya kuongozea gari basi hata Arusha yamo sema sasa haijulika ni wakati gani mwenda kwa migii atapita na niwakati gani gari linatakiwa kupita kama hapo wakuu wa usalama barabarani nijuzuni.
Ni huko Afrika ya kusini, alikuwa akiishi ndani ya boti.
Kurudishwa nchini wakati wowote kuunganiswa kwenye kesi na papa msofe, pamona na keshi nyingen.
na Walter Mguluchuma, Mpanda
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Mpanda imemuhukumu Kassim Lugendo (41) mkazi wa Kijiji cha Kambanga kifungo cha miaka 10 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumnyonya ulimi msichana mwenye umri wa miaka 13, mwanafunzi wa darasa la tano katika Shule ya Msingi...
16
AN-NUUR
JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA MACHI 22-28, 2013
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.
AN-NUUR
16
JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA MACHI 22-28, 2013
Usikose nakala yako ya AN-NUUR...
MWIZI MKUU KA PINDA
1. WAIZI KWENYE OFISI YA RAIS
MWIZI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu wa wizi) Ndugu hasira,
Mwizi wa Nchi, Ofisi ya Rais, (Utawala Bora wa waizi) ndugu Mchicha,
Mwizi wa Nchi, Ofisi ya Rais (UTUMISHI wa wizi) Komba ni mnyama
2. WAIZI WA OFISI YA...
mwandishi: muheshimiwa umaweza kutuambia kwanini nchi yako ni maskini?
rahisi: hata mimh nashangaa na sijuh kwanini nchi yangu ni maskini.
mwandishi: je mh. unaweza kutuambia kwanini vijana wa kidato cha nne wamefeli sana mwaka huu.
rahisi: unaniuliza hilo swali kwani mimi waziri wa elimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.