Utakuwa umesahau ile Rap ya kwanza kuwika Tanzania. Kama sijasahau iliimbwa na Mzanzibar kwa jina Jabir. Ilikuwa na kibwagizo "Sitapenda wengi kama Maumba" Ilikuwa hit moja kali sana zaidi ya vigogo wa dunia enzi hizo Chaka Demus & Shaba Ranks
Hii hali na maandalizi ya askari katika uwanja wa Taifa yanatoa tafsiri tata.
Haieleweki ni washabiki wataangalia mchezo wa mpira au vita kati ya majeshi yetu na adui asiyejulikana.
Maandalizi ya majeshi yanaonekana kuwa ya juu zaidi kuliko hata timu zilizopangiwa kucheza mechi leo...
Kula [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109]
Mie nilitaka kumuuliza vipi je kama mshauriwa ndiye anawashauri washauri wake?
Hapo unadhani ushauri wa washauri utafanyiwa kazi na washauri watakuwa na maana yoyote?
List of shame was purely composed and announced on political background. Mambo ya kisiasa si sawa na mambo ya Kiutawala. Ya kisiasa yanajibiwa na kumalizwa kisiasa.
Waliotajwa kwenye list of shame walitakiwa wawajibike kisiasa au wajisafishe. Hakuna aliyetakiwa afike Kituo cha Polisi...
Habari zilizotufikia hivi punde na kuthibitishwa na vyanzo vya FikraPevu.com, zinasema kwamba Kiongozi wa Upinzani nchini DRC amefariki dunia.
Timu yetu inaendelea na ufuatiliaji wa taarifa za kina. Tutaendelea kukuhabarisha mara tu habari zaidi juu ya chanzo cha kifo zitakapotufikia. Na...
fugees,
Acha kutisha watu. JF imejipambanua kama mahala salama kwa watanzania kuwasiliana na kuwasilisha kero zao. Sidhani kama utakuwa umesahau haraka kiasi hicho juu ya kesi zinazomkabili Mkurugenzi wa Jamii Media kwa sababu tu alikulinda wewe na mimi watumiaji wa JF kwa kukataa kutoa taarifa...
Kama hivyo ndivyo, basi nadhani Dk. Magufuli anakuwa Rais wa Kwanza baada ya Nyerere kuhofia usalama wake katika mji mkuu wa nchi mapema zaidi katika mihula ya utawala!
Leo tunapoadhimisha miaka mitano toka ututoke Dada Regia Mtema, nakuombea Mungu akupokee katika makao yake ya milele na ukajumuike na watakatifu wote waliotangulia. Sisi pia tunaomba wakati wetu utakapofika utukute katika hali ya usafi wa moyo na utayari wa kutwaliwa.
Raha ya milele umpe ee...
Siyo vibaya kukumbushana kuwa hiyo marufuku ni kama majira ya mwaka...iliwahi kupigwa, imepigwa na bila kukosea utabiri itapigwa tena upya siku za mbeleni.
Polisi yapiga marufuku kuuza visu, sime, mapanga barabarani ili kupunguza matukio ya watu kujiua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.