Search results

  1. F

    Kuku wa kuoka pamoja na mboga mboga

    *****Mahitaji***** 1)Kuku 1 2)kitunguu maji 1 kikubwa 3)Pilipili boga (hoho) 1 4)Kitunguu saumu na tangawizi 1tsp 5)mbatata 5 (viazi) ndogo 6)Spices upendazo 7)nyanya zilosagwa 4-5 8)giligilani 9)chicken broth mix(sio lazima) 10)ndimu 1 11)chumvi. 12)bilinganya 3 ndogo *****Namna ya...
  2. F

    Makeup lovers

    Kwa wale wenzangu wanaopenda make up tuongelee products ambazo unatumia,tips na routines. Ni product gani ambayo unapenda sana kuliko zote mfano me napenda bronzer .
  3. F

    Ya kufunguia mwaka 2017-2018

    Share yours.
  4. F

    Ramadhan Kareem

  5. F

    Mihogo ya kukaanga (crispy)

    Mahitaji Muhogo uliomenywa Na kukatwa vipambe ukubwa kiasi Mafuta Chumvi Na pilipili kavu twanga pamoja Namna ya kutaarisha Chemsha muhogo wako Na maji hadi uwive Na kua laini (angalia usivurugike) Mwaga maji uliochemshia Katika karai weka mafuta jikoni hadi yapate moto Weka...
  6. F

    Upishi wa broccoli (brokoli)

    **********Mahitaji *********** Brokoli kiasi Carrot 1 kubwa Kitunguu 1 kikubwa Kitunguu saumu chembe 5 katakata ndogo au twanga Nyanya (tomatoes) 2 kubwa Pilipili mboga nusu (unaweza changanya za rangi utakazo) Uzile (cumin)nusu kijiko cha chai Limau 1 *******Namna ya kutaarisha...
  7. F

    Eid mubarack

    Nawatakia wote sikukuu njema ya eid el hajj😊😊😊
  8. F

    Jinsi ya kusafisha microwave yako

    Tumia njia hii rahisi na salama kusafisha microwave yako Mahitaji Microwave safe bowl Limau 1 Maji nusu kikombe Kitambaa safi Namna ya kusafisha Weka maji katika bakuli na kamulia limau lako Weka ndani ya microwave na washa kwa dakika 4 Ndani ya microwave kutafanya mvuke na vyakula...
  9. F

    Vileja vya njugu (peanut)

    Mahitaji: - Karanga robo zisage ziwe laini kiasi - Mayai 5 tenganisha kiini na ute - Custard 4 teaspoon Baking powder 1/2 teaspoon - Sukari 450g - Hiliki 1/2 teaspoon - Arki flavor upendayo - Siagi 450g - Unga vikombe 4 vya chai usijaze sana Matayarisho: - Saga sukari na siari...
  10. F

    Kurasa ya Mapishi mbalimbali

    Habari zenu wapishi wote natumai mko salama Ningependa tujumuike pamoja katika kujifunza mapishi mbalimbali kupitia ukurasa wangu wa Instagram ambao nimefungua siku chache zilozipota.. Ukurasa ni: farkhina_zahraan_kitchen Shukrani sana Nawapenda wote Cc Mentor Watu8 Heaven on Earth...
  11. F

    Ndizi mbivu za nazi

    Mahitaji Ndizi zilozowiva (mkono wa tembo au mzuzu) 4-5 Hiliki nusu kijiko cha chai Sukari 1 tablespoon (sio lazima) Tui bubu kiasi Tui jepesi kiasi Custard kijiko kimoja cha kulia Namna ya kutaarisha Osha vizuri ndizi na zikate sehemu nne Toa moyo (ule mstari wa kati ya ndizi)...
  12. F

    Huu mti unaitwaje kwa kiswahili?

    Naomba kwa anaefaham huu mti unaitwaje kwa kiswahili aniambie..
  13. F

    Special for ladies!!!

    Wadada wenzangu mwanamke kujiamini....
  14. F

    Mwalimu alikufunza hii?

    Hahahaha vipi hii uliwahi stukia?
  15. F

    Biriani ya Samaki

    1.Samaki wa kipande 1/2 kg 2.Mchele 1/2 kg 3.Vitunguu maji 2 4.Carrot 1 kubwa ikwaruze 5.Mdalasini 1 teaspoon 6.Bizari ya pilau 1/2 tablespoon 7.Nyanya ya kopo Kitunguu saumu na tangawizi 1 teaspoon kila Kimoja Chumvi kiasi Namna ya kutaarisha 1.Kaanga kitunguu maji hadi kiwe...
  16. F

    Wapenzi wa Paka

  17. F

    Kuku na viazi vya kuoka

    Mahitaji kwa ajili ya kuku.... Kuku 1. Limau. Curry powder 1/2 teaspoon Paprika 1/2 teaspoon Tandoor masala 1/2 teaspoon Tangawizi 1/2 teaspoon Bizari ya pilai 1/2 teaspoon Kitunguu saumu 1/2 teaspoon Chumvi kiasi.. Pilipili ya kuwasha na pilipili manga 1/4 kila...
  18. F

    Mabiringanya ya nazi

    Wengi wetu tumezoea nyanya chungu za nazi,biringanya pia likipikwa na nazi huwa na ladha nzuri pia. Mahitaji: Biringanya kata dogo dogo wek katika maji ya baridi (hii husaidia biringani kutobadilika rangi sana na kua jeusi) 1.Nyanya 2.Kitunguu saumu na maji kiasi vitwange na chumvi. 3.Tui...
  19. F

    Wali kuku wa kukaanga

    Mahitaji: 1.Mchele nusu kilo. 2.Kuku 1 kata vipande vipande...mroweke na tangawizi na chumvi. 3.Carrot 1 ikwangue. 4.Green peas/njegere kiasi. 5.Kitunguu kikubwa kimoja. 6.Mchanganyiko wa spices upendazo. 7.Kotmir au persley ukipenda. 8.Mafuta ya kupikia. Namna ya kutaarisha: Weka...
  20. F

    Ongeza ladha ya chakula kwa kutumia pilipili manga

    Habari zenu. Unaweza kupika chakula kizuri tu na kuzingatia kila hatua ila kisiwe na ladha tamu zaidi au kiwe kimepooza. Tumia pilipili manga iliotwanga dakika 10 kabla ya kuepua chakula chako. Kwa upande wa spicea nyengine ili zitokoleze vizuri katika chakula mfano wa spices hizo ni bizari...
Back
Top Bottom