tunaamini kwa kuanza na DTV walau mnaelekea kule sie wateja wenu tunakotegemea mtupeleke ...nimefurahi kuiona chaneli hii kwenye king'amuzi chenu ila tuwekeeni na Tbc2 ili tumalize kazi
Pinda hafai hata kuongoza nyumba5 kama waziri mkuu ameshindwa hata na mgogoro wa madiwani wa Bkb sasa huyu urais nchi si itamezwa na mamba ..kusema kweli CCM kama hasimami Magufuri basi mmebaki weupe mno
kuna point ila sielewi ama ndo aina ile ile ya minyororo ya Fifa kwa waafrika ama nini,kwanini Uefa ina timu4 za ligi wakati Afrika ni timu moja tu? na kwanini shirikisho ni timu 2 kwao wakati sie tunaruhusiwa 1 tu wakati Afrika ni bara kubwa kuliko Ulaya ...wanasoka wa kiafrika ni muhimu sana...
itakuwa ni vigumu sana kwa tajiri kuuona achilia mbali kuuingia mlango wa ufalme wa mbinguni.. hongera mchungaji kwa kuwafanya wajinga kuwa makondoo yako wakidhania mbinguni ni sawa na kwenda sokoni
ni kweli wakuu japo kwa kundi ulilolilenga kamwe hawatakubali wala ila hiyo ndo hari harisi,mwanamke si degree na hili ni jambo muhimu kuliko yote kama kweli unataka kuoa 'mke' na kufurahia ndoa yako,ukiwaona wengi wanatamani kuolewa lakini hata dating hawaijuhi,badala ya kumfanya kijana avutiwe...
Huwa nashangaa kuona hata maprofesa wa kiafrika wanashindwa kabisa kusema ukweli kwamba wazungu ni sumu kwetu waafrika,wanampenda tembo kuliko kuliko wewe kwasababu ww huna cha kunufaisha kama tembo anayewapa pembe, ngozi na kwato
ishu siyo pesa kwasababu hata ikiwa 15000 bado uwezo wa kulipa upo kama tu mnakubaliana na ushauri wetu na kama kweli mnapenda kuwa karibu na wateja wenu ...kwahiyo haina haja ya kuwa wakali kama mnaweza tupeni kama haiwezekaniki kabisa mnasema pia,siyo mbaya
Miaka 21-26 kama upo free hauna mme unapenda kuliwazwa na kustahareheka nipm.
Vigezo ni msichana tu kabila lolote, rangi yoyote, dini yoyote karibu we dada.
Waalimu wa Tz tuna matatizo ya kifikra,hebu jiulize ww kama mtu mzima achilia mbali mwalimu hata kama ni msukuma mkokoteni ama muuza karanga unawezaje ukakubali binadamu mwenzio akakugonga bakora?
Tena wamekufata kwako? Kweli? Kwanini isiwe vita hata kama wao wana bakora kwanini ww usichukue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.