NIkweli iliyoje kwa mwandishi huyu!
Endapo tutamuunga mkono basi wahuni hawa hawana nafasi tena.
walipelekwa marekani kwa siri na mafisadi na kuambiwa wawe kitu kimoja na wasaidie kndi(MAFISADI)kukubalika kwa vijana na htimaye wachukue urais.
=NYEPESI anatumiwa kuivuruga cdm ili kisije...
=BARRICK walikuwa wanamlipa $25000 kila mwez for 6 months in2009.
=Kwa kuitetea DOWANS alilipwa 80mil (TSH)
=Kuhusu post ya Mkumbo alikuwa sahihi kwa sababu hata yeye KITILA pale cdm yuko kwa ZITTO na anamfahamu vizuri ZITTO kwani ni KITILA aliyemleta Zito UDSM akitokea ZANZBAR UNIVERSITY...
MBONA hamsemi ukweli tu kwamba ZITTO ni immaterial kwenye urais?
=upapeti mwingiii!
=watanzania wengi mtamjua tu kabla ya 2015
=ana kaugonjwa kanakoitwa mega-mania
=kuhusu ugomvi wake na MBOWE si urais bali wale watu wa viti maalum mle cdm.kila mmoja wao anataka awe juu ya mwingine we subiri...
Atasaidia vipi huku anapingana na falsafa ya CDM ya kupinga ufisadi?ZITTO ?yule aliyenunua VOG,anayemhusudu RA kupitia ule mwezi wa kwanza wa mwaka"JANUARY"?
Dawa likataeni kanisa katoliki na usanii wake.liajinasibu kuwa na wanyonge lakini sera yao ni umafia(freemansons)EL ni memba wa makundi hayo hivo ni mwenzao hasa YUDA RUWAICHI ambaye alimwalika kule MWANZA
Huyu analilia urais kwa udi na uvumba.ameamua kumwangukia YUDA.Mbona hata hawa wakatoliki wanatushangaza kuzidi kumpokea huyu mwizi?Anasema ajira mwanae FRED ana mamilioni kwanini asiseme ameyatoa wapi kwa umri mdogo kama huo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.