nimeamka asubuhi na mapema na kuwasiliana na baadhi ya rafiki zangu ma dr. nikiwauliza hayo tuliyoyaona jana nini maana yake? wengi wao hawana jibu lililonyooka coz wote wanasema TUMEWASIRITI WENZETU na wao wameamua kuuza heshima yao na kuidhalilisha taaluma kwa sababu ya NJAA.
Binafsi...
kaka nenda ka google zipo nyingi tu utapata. then watu wengine bana wasiposema upuuzi wao wa jokes siku hiyo hawatalala, kama una msaada u beta kip silence.
mkuu kati ya wtz wenye chembe ya ukweli na wewe upo! kimsingi tatizo kubwa linalokwamisha juhudi za maendeleo ktk nchi yetu ni UMASIKINI WA AKILI huo unaouita upumbavu, unafiki na ujinga uliokithiri! siku zote tumeishia kuandika maneno mengi, kujidai kwa lugha za madaha na kujiona wajuaji wa...
Wana jamii nimekuwa nikiwaza jambo hii la kila influencial figure, wasomi, waganga wa kienyeji, wanamziki n.k kutaka kuwa wanasiasa katika nchi yetu, hali inayopelekea kuzorotesha maendeleo ya nchi.
watazame wahandisi wetu
watazame madaktari wetu
watazame wachumi wetu
watazame wanasheria...
Wana jamii nimekuwa nikiwaza jambo hii la kila influencial figure, wasomi, waganga wa kienyeji, wananziki n.k kutaka kuwa wanasiasa katika nchi yetu, hali inayopelekea kuzorotesha maendeleo ya nchi.
watazame ma ingeneeear wetu
watazame ma daktari wetu
watazame wa chumi wetu
watazame wana...
jamani wana jamii sina hofu kwa msaada ntakaoupata kupitia forum hii wa kimawazo ili niondokane na changamoto inayonikabili kwa sasa. kwa kifupi iko hivi mm ni mwejeji wa mkoaX, nina ndugu wawili ambao bado wako shule za sekondari, nina mzazi mmoja tu (mama) ambaye anaishi kwenye dimbwi kubwa la...
jamani kwa mkazi wa moshi anayejishugulisha au anayefanya kazi kwenye organization yeyote inayojishugulisha na ustawi wa afya ya jamii aidha katika kutoa elimu au kufanya research naomba anipe taarifa ya wapi walipo ili niweze kufka sehemu husika na kuona kama kuna uwezekano wa kupata nafasi ya...
tukionekana wagumu wa kuelewa pia tumeendelea kuwa wepesi wa kusahau. Napenda kuuliza, ule mchakato wa wa kumuingiza rais Kikwete madarakani 2005 - kauli mbiu ya ccm ilikua "maisha bora kwa kila Mtanzania". Ninachokiona mimi umasikini unaotukabiri, sisi wana nchi tunaozunguka migodi ya madini...
kutokana na mgomo wa ma daktari nchini na uhamuzi wa serikari kusitisha leseni za madaktari wapatao takribani 300 na baadhi yao wameanza kuondoka nchini ili kutafuta mahala wanakosamini taaruma hii mwenzeni naomba mtu atakayensaidia kupata fulsa hapa nchini katka kazi isiyo ya utabibu lakni...
ndugu zangu wanajamii mimi ni graduate wa udaktari katika chuo chetu cha muhimbili . kufuatia kile kinachoeendelea katka sekta ya afya wito wangu wa kufanya udaktari nchini umepotea plz naombeni mnisaidie kupata nafasi ya kazi itokanayo na taaruma yangu tofauti na kazi ya kutibu
baada ya kusoma makara yako nimeshindwa kujizuia kwa machozi! juisho ya yote wengi ukweli wanauona achana na hao wengine wanaofikiri kwa kutumia makalio, nalipenda pendekezo la nn kifanyike? ukweli ni kwamba baada ya mateso kuzidi juu ya wana wa izrael huko utumwani misri mungu alikisikia kilio...
jamani mm sielewe mbona watanzania tunapenda kuzungumza sana? hoja zenye mashiko mnazo ila tukitangaza maandamano kupinga serikari ya kifedhuri hamjitokezi. hivi wokovu wa nchi hii utaletwa na wamisri waliolala kwenye uwanja wa taharir squire? chondechonde kesho tujitokeze uwanja wa jangwani...
ukweli ni kwamba mlita mfumo wa kufikri kwake umepooza hana tofauti na kindergaten reasoning capacity. anaitaji kupewa brain wash out coz mtazamo wake hauna mashiko.
Nacho amini HAKUNA UKOMBOZI BILA SADAKA. hapa haikwepeki both gvt and drs they have to resolve the crisis. coz cont delaying tha isue mahafa ni makubwa. MUNGU WANGU TUONYESHE NJIA.
mtoto wa mkulima hana jinsi ya kujitetea katika hili kwani kauli zake zinamtokea puani. ushauri wangu ameonesha udhaifu wake na serikali yake legevu kwani wanaamini kuwa matumizi ya nguvu kwenye vita vya intelectual ni suruhisho. tunaomba waje na mkakati wenye mashiko ktk mgogoro wa ma dr tz...
tumeonewa vya kutosha, tumedharauliwa vya kutosha, tumenyanyaswa vya kutosha sisi ma dr. wa tz na wananchi kwa ujumla , nadhani ktk hili tusipoandamana kuuondoa uongozi wa kinazi wa serikari ya tz mawe yatapaza sauti na historia itatushitaki kizazi hiki. URIMBOKA mungu wetu akuponye kwa damu ya...
ukishangaa ya musa utaona ya filaun! hivi kweli niambieni nini uhusiano wa muungano na kuchomwa kwa makanisa znz?
naachoweza kusema wakristo tuombee amani znz coz vita yetu si juu ya damu na nyama bali ni juu ya falme na usultani wa pepo wabaya wanaofanya uhaini znz.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.