Haaa pole sana Trigeminal, ukishaanza kubet ujue ushakua muathirika wa hiyo kitu kuacha ni ngumu sana yaani, ni sawa na bangi ikishakukolea kichwan hata uambiwe vipi huelew somo.... Ila wakati wako wa kupiga hela upo usichoke,, siku ukipiga utarudisha pesa yako yote, na utafurah... Mi leo...
Ukiwa na maseke utakua unapiga hela kila mara,, tatizo watu hawana maseke,, mi jana nimempiga mzungu supabets 2,653,000 niliweka zangu timu 8 tu kisha nikaweka mzigo wa 30,000.
Isipokua gazeti la Uhuru tu, hilo gazeni lina gundu silinunui tena, lakibinafsi sana, sijui kama wanauza magazeti tena wale, wataendelea kupata hasara kila Siku..
Jamani, naomba kujua kwa anayefaham, je, kesho kutakua na mkutano Wa Ukawa pale uwanja Wa taifa kumtambulisha mh. Lowasa au hakuna, kama upo kweli nataka nianze maandaliz mapema.
Eti aonekane ana confidence, na wakati kashajua kabisa hapa nchi imeshachukuliwa tayar na upinzani, sipati picha siku anamkabidhi mh. Edo nchi, sijui kikwete atakua na hali gani
Pia ni ushamba na udhaif Wa hali ya juu sana, Mh. Rais kikwete kumpigia kampeni mgombea Wa kutoka chama chake, na maneno ya kejeli kiasi hicho, ni aibu sana,, nimebahatika kuliona hili kwa nchi ya Tanzania tu, nchi zingine sijaona,, Rais hatakiwi kupendelea upande wowote ule,,, huu ni ushamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.