mawazo mazuri lakini tupime mazuri ya wenje uchaguzi ujao.lakini mimi ni mzaliwa wa rorya nimekaa sana rorya,ila wenje ameonesha njia ila kwa wananchi wengi wa rorya hafamiki sana.kama wana rorya wakimkubali ni vema.ila kwangu mimi nngefurahia sana kama mabere marando angegombea 2015 kwa sababu...
Tutafurahi sana endapo waziri sita ataacha kuchefua watanzania. Ni vigumu kusikia kila siku anahubiri kuhusu ufisadi ndani ya ccm.Sita angejua kwamba hawezi kuleta mabadiliko yeye na marafiki zake Mwakyembe na Mwandosya akiwa ndani ya chama mfu.Lazima Sita akubali kwamba wa Tanzania wameamka na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.