Kumetokea changamoto ya Polisi kupita mitaani kwenye Vibanda umiza vinavyoonesha Mipira na Bar kukukamata washabiki wa mpira kuanzia saa 6 usiku hivyo kuleta usumbufu kwa mashabiki wa soka,
Sasa kesho Timu ya Taifa inacheza kuanzia saa 5 usiku mpaka saa 7.30 Usiku tunaomba Serikali kupitia kwa...
Viongozi wa upinzani nchini Tanzania hawajui maana ya uongozi wa kidikteta au ki imla.
Je Serikali ya Kidikteta inaweza kufanya haya kwa ustawi wa maendeleo ya Taifa la Tanzania
1. Kupiga vita vya haki mafisadi na mianya ya rushwa
2. kujenga reli ya kisasa ya SGR
3.kuboresha miundombinu ya...
Tatizo la Wizara ya Afya kuweka Waganga wafawidhi wa Hospitali za Rufaa ambao hawajui hata procedure za upasuaji, kufanya uchunguzi huyo mganga mfawidhi hajui hata taratibu za kufanyia uchunguzi mwili. Wizara ingeanza kwanza kuchunguza capacity ya Mganga mfawidhi katika ktk kutekeleza majukumu...
MARUDIO LUNDO LA TRIP 8 ZA MCHANGA WA TIPA LINASOMA DHAHABU (AU) 2.65 PPM, COPPER (CU) 44.66 PPM LIKIPELEKWA PLANT KWA AJILI YA KUOZESHWA DHAHABU INAWEZA KUPATIKANA GRAM NGAPI?????????????// MSAADA
MARUDIO LUNDO LA TRIP 8 ZA MCHANGA WA TIPA LINASOMA DHAHABU (AU) 2.65 PPM, COPPER (CU) 44.66 PPM LIKIPELEKWA PLANT KWA AJILI YA KUOZESHWA DHAHABU INAWEZA KUPATIKANA GRAM NGAPI?????????????// MSAADA
M
Unataka Sheria ya nini kama wewe ni mhalifu utawekwa tu Lupango mpaka Dola itakapoona vinginevvyo kama unabisha kesho jitokeze hadharani kuvunja sheria uone MKono wa dola utakavyokushughulia na hapo utatumbua ni sheria gani inakushikilia
Iron man or Lady?? kawekwa ndani Wema watanzania wakaandamana Mbowe kakaa segerea hakuna cha maandamano nimeanza kuona wafuasi wa chadema wameanza kuwa na uelewa mkubwa kwa kumpuuza Mbowe hadi kula sikukuu lupango
Kwa matamko mnapenda kujipa moyo awamu hii akitoa hata kitamko cha kibwegebwege kuchochea vurugu na uasi akiwa DSM anapigwa centro 5 days then 10 days Segerea akitoka lazima akajifiche mgombani huko machame
w
wivu tu umewajaa mlisema haiwezekani tukaweza kuhamia DODOMA SASA TUMEWEZA Mmebaki na propaganda mfu tu. Makao Makuu ya Wizara zote na watendaji Wakuu wa hizo wizara wanafanya kazi DODOMA
Tulitembea kuomba kura usiku na mchana sasa ni wakati wetu wa kutekeleza na kukagua shughuli za Maendeleo Site hivyo Rais Anazo Nguvu na Mungu anamlinda Kwelikweli. Tuliposema Hapakazi tu hamkuelewa nini Rais anachapa kazi mwacheni atimize wajibu wake
Rais Magufuli anachapa Kazi na Kuleta Maendeleo kwa Taifa kwa Kasi sana hii imefawanya Wapinzani hasa Chadema kukosa maneno ya kuandika katika Hotuba zao Bungeni kwani hawana cha kuikososa Serikali ya Rais wetu Magufuli.
Rais Magufuli anatekeleza tu huwezi kukosoa
Ø Ujenzi wa Reli ya Kisasa
Ø...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.