Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya ludewa bwana Matei kongo hivi karibuni amekumbwa na kashfa mbaya ya rushwa baada ya kupokea kiasi fulani cha pesa kutoka kwa mkandarasi ambaye kwa mda mrefu alikuwa akifuatilia tenda hizo bila mafanikio. Hivyo TAKUKURU wakafanikiwa kutengeneza mtego wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.