Waalimu acheni unafiki wa kuamua mambo yanayohusu maisha haiwezekani mwalimu wa degree anamshahara sawa na nesi wa certificate wanaishi nchi moja, mkoa moja, wilaya moja , kata mmoja na kijiji kimoja wananunua vitu kwa bei inayofana .HUU NI WAKATI WA KUAMKA...
Kwa mwezi nalipia kodi ya sh 50000 kutokana na mshahara wangu mdogo,Rais hasemi namna ya kuboresha mapato ya ndani ya nchi watumishi hasemi kodi yetu inttumika vipi? anajisifia kuomba misaada, Mikusanyo ya TRA wanayodai ni zaidi ya 50% yanaenda wapi...
Tunaomba tupate mtandaoni list ya waliosaini(majina) ili tuwajue wanafiki walioacha kusaini wakijua mawaziri hawatekelezi majukumu yao kama inavyo stahili ili tuwawajibishe 2015
OMBI KWA WANWARUMERU MASHARIKI:
Ndugu zangu wana wa Arumeru mashariki kesho ni siku muhimu kwenu
kuchagua maendeleo ama ubabaishaji, Chonde Chonde chagua kiongozi unyemdhani anayajua matatizo yenu na atayafanyia kazi si wale tuliowazoea na ahadi zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.