Search results

  1. B

    Naunga mkono mgomo wa walimu

    Waalimu acheni unafiki wa kuamua mambo yanayohusu maisha haiwezekani mwalimu wa degree anamshahara sawa na nesi wa certificate wanaishi nchi moja, mkoa moja, wilaya moja , kata mmoja na kijiji kimoja wananunua vitu kwa bei inayofana .HUU NI WAKATI WA KUAMKA...
  2. B

    Rais wangu, hata kama sisi masikini huoni sifa ya misaada ni aibu? Ukoloni?

    Kwa mwezi nalipia kodi ya sh 50000 kutokana na mshahara wangu mdogo,Rais hasemi namna ya kuboresha mapato ya ndani ya nchi watumishi hasemi kodi yetu inttumika vipi? anajisifia kuomba misaada, Mikusanyo ya TRA wanayodai ni zaidi ya 50% yanaenda wapi...
  3. B

    Dr. Slaa Almanusra Ajiuzulu Chadema, Sasa CCM tumechoka!!

    Vuvuzela hao wamekosa cha kuandika
  4. B

    CHADEMA kusambaratika ndani ya mwaka mmoja ujao - Wassira

    Hiyo ni dua la kuku kamwe halimpati mwewe Mwacheni aendelee kulala the time will tell.
  5. B

    Taarifa kwa Vyombo vya Habari: Hoja ya Kutokuwa na Imani na Waziri Mkuu

    Tunaomba tupate mtandaoni list ya waliosaini(majina) ili tuwajue wanafiki walioacha kusaini wakijua mawaziri hawatekelezi majukumu yao kama inavyo stahili ili tuwawajibishe 2015
  6. B

    Maandamano ya nchi nzima

    Kama ni kweli rais anaona watanzania bado hatuelewi madudu ya mawaziri wake niko tayari kuingia barabarani ili aone ni tufani siyo upepo tena
  7. B

    James Millya Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa Arusha ajivua GAMBA akimbilia Chadema

    Naamini ni maamuzi yako na umeyafanya wakati na muda shihi karibu kwenye chama makini yenye malengo makini ya kuwatumikia watanzania.
  8. B

    As far as opportunity cost is concerned, CHADEMA kateni rufaa

    Nawashukuru kwa mawazo mazuri na mimi sasa ni elelewa umuhimu wa kukata rufaa ,Tuendelee kuwaombea makamanda wetu
  9. B

    CHADEMA kutoa uamuzi wa maamuzi ya Mahakama Jumamosi NMC Arusha

    Kwa uelewa wangu mdogo wa sheria kukata rufaa itakuwa sawa na kutuacha wananchi mpaka 2015,
  10. B

    Lema: Ikulu imenivua ubunge ; Ikulu yamjibu vikali

    you can resist an invading amy, but you can not resist an idea whose time has come, LEMA UKIKUBALI KUKATA RUFAA ITAAMULIWA 2016.
  11. B

    CHADEMA yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa (Zaidi ya kura 6,000)

    Bila kuwasahau wasra,ben m,na wezao wengi.AIM STILL WAITING FOR OFFICIAL RESULT, hONGERENI AKAMANDA.
  12. B

    CHADEMA yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa (Zaidi ya kura 6,000)

    Very excited, tafadhali msiache kutupa apdate
  13. B

    Arumeru risasi zarindima

    Tafadhali endelea kutupa matokeo tuko pamoja m4c lazima kieleweke.
  14. B

    Dalaly Kafumu amekalia kuti kavu Igunga

    wasiwasi wangu mahakama itawalinda ila haki hupiganiwa makamanda msichoke tutawaombea.
  15. B

    Ulikuwepo enzi za DUKA LA KAYA??

    OMBI KWA WANWARUMERU MASHARIKI: Ndugu zangu wana wa Arumeru mashariki kesho ni siku muhimu kwenu kuchagua maendeleo ama ubabaishaji, Chonde Chonde chagua kiongozi unyemdhani anayajua matatizo yenu na atayafanyia kazi si wale tuliowazoea na ahadi zao...
  16. B

    Kampeni za CHADEMA katika picha: Malula na Usa River - Arumeru [March 24]

    CDM pamoja na kampeni zinazoendelea mikakati ya ukika kusimamia na kulinda kura yaendelee sambamba,tuko paja mungu akiwa upande wetu tumogope nani?
  17. B

    Kubenea wa MwanaHalisi yupo London kwa matibabu

    Lamsingi tumombea kwa mola apate nafuu haraka mapambano ya ukombozi wa watu wetu yaendelee.
Back
Top Bottom