Ban ya nn faza kwenye ukweli tuseme mama hana uwezo yule kama sioi vile......lazima tuoji ni kwnn apelekwe yy peke yake while kuna watu walionyesha nia....
sure kaka mpe huyo mzee kaisha choka akapumzike na wajukuu zake huyo mdiniii mkubwa na ndo agenda ya chama chake ndo maana hata zitto anashambuliwa sn humu nw thy shw wht thy want.......
Wameshaanza kulewa sifa hao ss mtei anasema eti ina waislam wengi alitaka wawekwe watu wa kaskazin nn........ am very much disapointed ckutegemea huyu mzee anaweza kutoa mawazo mufilisi kama hayo......
na pia inabidi tukubali kuwa ushindi hautokani na mauzulio ya mikutano ya kampeni cz kuna watu wanaattend kampeni while wameshauza shahada zao na fomu no 16 lubuva kakataa kuitumia la msingi hapo ni kukomaa na kampeni ya nyumba kwa nyumba na elimu ya uraia itolewe kwa nguvu zote makamanda coz...
hao ndo cdm hakuna rsources kabisa zaidi ya slaa,zito,mnyika,mdee,lissu, ukirudi kule kwa kina sugu ndo hakuna kitu kabisa mi nazan nw ni wakati wa kujipanga ni namna gani wanabuild skills for the future cz hawawezi kuongoza nchi kwa kuwa na wazir kama sugu au huyo nyerere antegemea hilo jina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.