:msela::msela::msela:
hataki wigi? au mnamsingizia!
Huyu zilihona mbona ndiye nambaone kwa vimwana? anawachambua wafanyakazi wake kama karanga! Hili liko bayana! sio siri hadi vitoto vya under 20yrs. Muulizeni Ngeze!
Nikweli kabisa. ajira za chuo hiki ni kizunguzungu kuna watu...
Tangu lini polisi wa bongo akawa great thinker. Karibia wote ni form 4 failures.
Ametokaje mahabusu na kwenda kuangalia maiti,je alipewa taarifa kuwa watapanda meli? na kwanini wasingewakamata kabla ya kupanda meli wakati wakiwa DSM? nani aliyemweleza kuwa ktk ile meli waliokufa mojawapo ni...
Kuna siri au mkakati gani katika sheria hii? kwanini wabunge wajipendelee kwa kulipwa mafao yao mara baada ya kustaaafu? kwanini wasisubiri hadi miaka 55 au 60 kama wengine?
Jana tu magazeti yaliandika kwamba serikali imekopa pesa nyingi sana katika mifuko hii ya jamii na imeshindwa kurejesha...
yaani we zoba kweli kweli. inaonekana hufuatilii kampeni za CCM. Captain Komba wa wenzie akina Juma nature huwa husikii?
Tafiti na fikiri kabla kuandika huku JF.
Kuna jamaa zangu wanasoma UDOM MA za development studies na Human resouces, wanajuta kwanini walikwenda kusoma UDOM. Wanasema kwanza wanafundishwa na walimu wenye master na sio Doctors, hawana experience- not professional hawajawahi hata kuwa consultants kwenye hizo fields yaani ni weupe peeee...
KWA WALE AMBAO HAWAKUSOMA UDSM awe na first class kutoka katika vyuo HIVYO. isipokuwa kwa wale waliosoma UDSM; wanaume wawe na GPA ISIYOPUNGUA 3.5 na wanawake wawe na GPA ya 3.3
Wana JF hii inapeleka ujumbe gani kwa vyuo vingine?
Hii cha mtoto bado uozo haujawekwa wazi! watakapoingia wizara ya elimu walimu wa shule ya msingi na sekondari watanaswa kibao, manesi huko usipime ni kundi kubwa sana, wataalam wa kilimo ngazi ya certificate na diploma acha kabisa. masecretary pia wapo kibao tena hadi ofisi nyeti kama mawizara...
Wapo katika mchakato wa ajira zilizotangazwa hivi karibuni zikiwamo za Makatibu kata, wahadhiri- Mwl JK nyerere, CBE, Chuo cha Miponago Dodoma. Kinachoendelea huko ni vimemeo na undugu tu! tusibiri matokeo!
Hawa ndoi yanao ishauri CCM na kujenga hisia za woga kwa umma.Mtu kama huyu ni wa kumpuuza na kmbeza. by the way makada wa CCM pale political science dept UDSM wapo kibao! SHAME ON HIM!:shetani:
watanzania tuliendea kufikiria kaka wewe hakika hatutafikia maendeleo endelevu. Maendeleo ni ghrama na mara nyine hugharimu maisha ya watu. Wanyongwe hadi kufa sio kufungwa tu!
[Kumbe Kanumba alikuwa amechukua kadi ya chadema na alikuwa amepanga kugombea Shinyanga mjini kwa tiketi ya Chadema. Chadema tumempoteza mmoja wetu. RIP]
hakika hapa tungekuwa na mwakilishi makini bungeni????????? Tafakari!!!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.