Mitandao ya simu haija anza leo kutoa taarifa za wateja wao pindi vyombo vya usalama vinapo wataka wafanye hivyo. Si voda tu, hata tigo na airtel watatoa tu..
Sio kwamba serikali haijui kuhusu ndege na reli. Kwenda Rwanda ni strategy tu ya kupata support kubwa kwenye EAC. Ondoa hilo jina maana haulitendei haki. Tyrion angeligundua hili mapema sana..
Pale tume fanya maamuzi kama wana Africa mashariki. Hata kama TZ ilisha jiridhisha kuhusu Epa. Ni lazima turudi nyuma tujiridhishe pamoja kama wana EAC.
Ina maana mpaka leo huja
Gundua kuwa Nyerere wote wana good sense of humor. Hapo nyie mlio zoea mtukio ndo mta tafsiri vingine. Ila me I see typical nyerere in those words.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.