Hapo kwanza umetumia dawa ya aina moja tu! Pili, hilo doa naona halina madhara, ila badala ya kutumia madawa nakushauri umpeleke kwa daktari wa ngozi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa mjinga lazima upigwe, ujinga ni garama! Hawataki kusoma biblia, hawamtaki Mungu ila wanataka baraka yake, nasema wapigwe hadi akili iwakae vizuri
Ametoa maelekezo ya wapi anaweza kupata msaada, na sio Tangazo, na msaada aliomwelekeza ni wa kitaalamu, naheshimu mawazo ya wengine kwa kua yametokana na uzoefu wao, ila ni kubahatisha na unaweza usijue kuna uharibifu gani unaweza tokea kutokana na usalama mdogo wa njia husika ktk kutatua...
Kapimeni wote UTI ili ikithibitika mtumie dawa wote, unaweza kuta ni fungus, ndio maana ukipima huoni kitu!
Mkipima wote hata km ni fungus mbaweza ambiwa mkienda sehemu ya uhakika!
Pia:
1.Kunywa dawa bila kupima ni hatari, unaweza kupata usugu wa dawa.
2.Unaweza pata tiba isiyosahihi ukapata...
Kwa kawaida ndoa hufungwa kanisani kwa kijana wa kiume, ila katika hili km wasipokubalina ktk hili ni dalili sio tu wao watapata shida ila watawachanganya hata watoto wao, ikiwa MUNGU atawabarikia na uzao
Huu ni unyanyapaa, ungekuwa na maambukizi, usingependa kusikia ulichokiandika, why kuishi kwa tumaini kuna kuja pia kwa kutiwa moyo wa kusonga mbele, mara nyingine tunahitaji watu wa kutuambia ili ari na tumaini liinuke zaidi.
Pole sana!
Kwa sasa nikutie moyo tu,you have HIV not AIDS, kwa hiyo cha msingi
1. Jitahidi kutumia dawa km ipasavyo bila kukosa
2.Be POSITIVE about LIFE and people, kuwa na HIV sio mwisho wa ndoto zako au maisha, kuna watu walizaliwa na maambukizi, nimewaona wakiwa watoto na sasa hivi ni watu...
Habari wakuu!
Naomba awali ya yote nitamke ya kuwa sina maslahi binafsi na sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote.
Binafsi, nachukua hatua hii kuupongeza uongozi wa mkoa wa Dar, kwa jinsi mabadiliko na maendeleo yanayoonekana.
Mathalani:
1.Huku kwetu TABATA tatizo la maji linaanza kuwa ni...
Niliwahi kufanya kazi mahali pamoja, walikuja kutest, dada alikuwa positive, dada negative, kaka akasema anaendelea na wakafunga ndoa, na nikaalikwa wanaishi maisha ya furaha na wanawatoto
Shida ipo kwako na sio mkewe, Mume ni kichwa cha nyumba, ni kiongozi, umemwacha mkeo aongoze familia hapo shida lazima itokee.
Ukijitambua nafasi yako na ukakaa ktk nafasi yako hata huyo mke atatulia.
Ni hatari sana gari ikiendeshwa na UTINGO badara ya DEREVA, hiyo safari itakuwa km ndoa yako.
Shame on you! Unaushahidi wa hili unaloliongea, au unaongea ongea tu kwa sababu unamdomo!
Ulichokiandika hakina ushahidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa idadi ya yale matundu sio silaha ya kawaida, hii huhitaji akili nyingi na utaalamu mkubwa kutambua ile ni silaha ya kivita ndio ilitumika
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili lilitokea kwa Mh.Tundu Antipas Lissu, limefanya tuyajue mengi, kujitoa kwake kwa watu wengi tena bila kutaka kulipwa fedha!
Hakika Mungu aliyeyaokoa maisha yake, aendelee kumpa uzima!
He is a HERO
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu sio nyama za pua huyu ni allergy, cha msingi epuka hiyo/hizo perfume utakuwa umemsaidia kwa sababu hakuna tiba duniani ya kumaliza tatizo la allergy
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana! Nakushauri nenda hospitali, Hiyo itakuwa ni "Adenoid Hypertrophy" .Hospital km Muhimbili, Regency, Agakhan, Mikocheni na Tumaink zina madakatari waliona uwezo wa kumfanyia operesheni kwa uhakika km upo Dar, kama upo mwanza ni Bugando tu, Kilimanjaro ni KCMC.
Hizi ni baadhi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.