Asilimia kubwa ya watanzania uwezo wao wa kufikiri ni mdogo ndo maana wanashupalia mambo yasiyo ya msingi na kuacha ya msingi.
Yaani kila siku ushoga ushoga utasema ni jambo geni kumbe ni jambo lililokuwepo hata kabla hatujazaliwa au ndo kujifanya watakatifu sana.
Watanzania wenzangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.