Ni baada ya kumwaga matusi ya nguoni hadharani katika uwanja wa ngarasero tarehe 26 atimae tarehe 27 wakatangaza kuwa kutakuwa na mkutano tena tarehe 28 pale pale uwanja wa ngarasero.
Inaonesha wazi viongozi wa CCM wana elimu ya kuungaunga na degree za kikuda.anaposema yeye si mganga bali ni mkristo alafu mwenzie anakuja kusema viongozi wa CHADEMA amewachanja chale mpaka matakoni anamaana gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.