Bongo yoso mjomba,Binafsi nipo tayar kupita mbele uletwe ule mtihan niliojibu mm tusahihishe kw majibu yao tuone km hiyo 33 waliitoa wapi,actually nimeona vijana weng mtaani hawajaridhishwa na outcome hii ila hakuna cha kufanya kw Tz hii.
Siamini km aya matokeo yana uhalisia,ule mtihan maswali 3 nayajua nje ndani achana na ile multiple choice yao sikosi ata majibu 2 ya kweli kati ya 8...Matokeo sasa yanakuja nina 33 [emoji3][emoji3][emoji3]
Kuna jamaa wanamuita OWEN yani draft limemfanya akawa chizi hivi tunavoongea kawa chizi kabisa yani anaokota makopo,naskia madaktari walimshauri hasicheze tena ila wapi,Huyu jamaa analijua ili dude sio mchezo,Na uchizi alionao ila hawamfungi...Namuonaga mitaa ya Extenal kule
"Mdogo wako" atakuwa ni wewe mwenyewe ila sielewi kwanini hutaki kuwa wazi.
Anyway mwambie "mdogo wako" hasiogope maisha kupanga ni kuchagua,akiona pesa ni ndogo aache kazi afanye kitu kingine.
"Mdogo wako" lazma atambue kitu kinaitwa kirithika,akiamua akubali kuanza kidogo kidogo mpk...
Nawaonya HUSITHUBUTU,narudia HUSITHUBUTU,nasisitiza HUSITHUBUTU,nakazia HUSITHUBUTU kwenda huko bila kuunganishwa na mtu unayemjua wewe mwenyewe
Jpili njema ila msisahu ilo neno lenya herufi kubwa.
Hukuwa na haja ya kuja huku kuanzisha nyuzi mbalimbali ili upate ndagu,wee tembea tu utawapata au ndo ile unataka relief ya moyo
Inaonekana unaleta ujeuri na umejaa kiburi,Mungu akukazie kamba tena zaid ya hivi unavopitia ili ushike adabu ipasavyo.Na waganga utakao wapata wakupige pesa tu na...
Unajiona unashida na unahisi umesahaulika sio? Bado hujaishi wewe,ayo mambo ya kufukuzwa,kukosa kazi,kushinda njaa ni rasharasha tu,tupo wengi tunaopitia makuu kuliko wewe...Ukiona HUWEZI kabisa,jiue mwenyewe kuliko kuuwa wengine wasio na hatia ili ww uishi vizuri...
Nikwambie tu nimeshafukuzwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.