Ni hulka ya binadamu kukinai,Hata umpe vitu gani kuna siku ata kinai na atatafuta anakopenda huku akiwa ndani kwako ,Hakuna binadamu anaweza usaliti moyo wake
Ukweli pesa kwa girl friend ni njia ya kurahisisha kupata ngono huku mwanamke akiamini anapendwa ,Pesa ingekua solution mahusiano mengi ya wenye hizo pesa yasinge vurugika, Pesa ya mwanaume ni halal kwa mke na watoto na hapo ndipo tunatakiwa kuwajibika kwa MACHOZI NA DAMU
Unaweza kua sawa kwa mawazo yako ila KWANGU MUNGU YUPO ANAISHI,NAMTUMIKIA NAMUISHI NAAMINI ATARUDI KWA MARA YA PILI KUWAHUKUMU WALIO WAZIMA NA WAFU ,NAAMINI JEHANAMU IPO KWA WAKOSAJI NAAMINI IPO MBINGU KWA WALIO JIKANA NA KUACHA DHAMBI, NAAMINI KATIKA MSALABA. NAMNGOJA KWA SABURI KUU
Tatizo lako lilianzia hapa, Nna uhakika hata mama na baba yako hawakuishi pamoja hivyo bado una hasira na kukosa malezi pande mbili na umeona Mungu ndio wa kulaumiwa kwa hayo umepitia
Mama yangu enzi za uhai wake alipiga picha na dada na mdogo wangu kwa nyakati tofauti, Sikuwahi piga nae na dada yangu mkubwa pia hapiga nae ,Hadi leo hii Mama na wale ndugu alipiga nao picha wamefariki tupo hai mimi na dada mkubwa
Mi sio mwana sheria, ila kwa mtazamo wako na ujuvi wako unafikiri Fei angeshinda hii kesi? Hata angekua katokea upande wa pili asinge shinda ,Hii ni Tz mkuu
Miasha ni dhana pana inachanganya mnoo, Hua nikiwa sina pesa najisemea nikipata pesa ntafanya vile au hivi,nikipata pesa nafanya vile moyo wangu unataka ila bado NAKOSA UKAMILIFU halisi wa furaha niiwazayo,Ila angalau katika Mungu naona kuna utulivu na amani flani hasa katika KUTOA KWA WENGINE
Hongera sana kwa uthubutu na ushuhuda mzuri ndugu Mwalimu, Tushirikishe sasa matumizi ya muda wako na usimamizi wa mradi wako
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Hapo ndipo ambapo hua najiuliza sana sisi wanaume akili zetu zikoje?? Tunaweza mlala kichaa,Vikongwe,watoto wadogo, Walemavuu kote huko hatutosheki tunaanza tafunana sisi kwa sisi[emoji1787][emoji17][emoji17][emoji17]
HAKIKA SANAAA HAPO KWENYE MALIPO YA NATURAL ,BABA YANGU ALIFANYA MAMBO FULANI KWA WAKATI WAKE HAYAKUA MAZURI NILIOMBA SANA DUA NISIYAPITIE NA MUNGU ALINISAIDIA ILA NILITELEZA KIDOGO TU NIMEFANYA YALE BABA ALIFANYA MARA 6 YAKE[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.