Wadau naomba kujua ni fursa gani zipo za kibiashara kwa nyanja zote katika Mkoa wa Kigoma. Mimi natokea Dar na kwenda Kigoma kwa shughuri za kikazi tu wadau naomba kujua.
Magunia 50 maanaake ni tani 5. fanya kila tani moja ni 1.5 M. bado usafili kwa kila tani moja ni 150k. Ushuru ni 30k kwa tani 1.Haya karibu Mbeya upate super mchele.
Habari wana jamvi naomba msaada kwa walio na uzoefu katika biashara hii ya magodoro faida zake na biashara yake ikoje. Pia naomba kujua namna bora ya kuwa wakala katika makampuni hayo tajwa na vipi kuhusu mtaji wa kuanzia. Mi niko hapa DSM nataka kuanza hii biashara. Nitashukuru mkinipa mwanga...
Nunua mchele kutoka mbeya na mpanda ule wa kamsamba. Usichanganye mchele wa kutoka mikoa mingine ili u win soko la mchele safi yaani ule grade 1. Nunua mahindi kutoka mbeya na ruvuma na kwingineko kusanya yakutosha weka stoo bei ikiwa nzuri uza. Biashara ya nafaka au chakula ni biashara...
Mh Bashe hili ni Dude limekuganda mheshimiwa embu fanya Uwalipe hawa ndugu stahiki zao pambana muheshimiwa hili lisikupe Doa la uongozi wako katika nchi chonde chonde fanya hima. Ikiwa shida ni kwa Rostam Aziz aisee ongea nae vizuri huyo ndugu alipe aisee hawa watu mi nawafahamu vizuri nimekuwa...
Bashe huyu huyu anae ruka ruka kwenye tv akiwaponda makatibu wastaafu na waraka wao?? Aisee huyu jamaa ni mburura sijapata ona kelele zake za kuosema serikali na mambo ya uchumi kumbe ka kampuni tu kanamshinda kuendesha na uchumi wake wa makaratasi?
Acha masihara Bashe Hussein lipa mishahara ya...
Wanasheria nawadau wengine naomba kuelezwa vizuri baada ya kuowa ni miaka miwili sasa lakini tunavutana na mke wangu kutumia jina langu la ukoo anapenda kutumia jina langu la kwanza kuliko la pili. sasa naomba kueleweshwa mnapokuwa mume na mke kwa mfano naitwa JOHN NONGWA mke wangu anataka aitwe...
babu hii ni kweli kabisa dar mpaka mbeya magari yalikuwa yanaingia saa 9 hadi saa 10 kwa zile enzi hizo ndio luxury yaani kama Embakassy,Tawaqal, daaa na KISWELE injini nyuma nazani hiyo iliyoweka record yakuingia saa 7 ni kiswele babu yaani enzi hizo tupo shule tunashindana kuchora magari tu ya...
Hizo sio sifa za St Francis kufanya vema. Any way asante kwa kunikumbusha mwalimu wangu wa Chemistry mwl Rand enzi za Tution meta secondary.
Sent using Jamii Forums mobile app
CAG, CJ, AJ. These are a Constitutional post. Hapo utaona kila mmoja yupo kwa mujibu wa katiba na ana muhimili wake.
CAG muhimili wake ni serikali kuu.
CJ na AJ ni Mahakama then
SPIKA wa Bunge muhimili wake ni BUNGE.
kwa maana hiyo CAG yupo kwa mujibu wa katiba ya nchi na nafasi yake ipo...
Hili si la kupuuzia wenye mtandao husika waseme nini kimetokea watavunja ndoa za watu. Mimi naamka asubuhi wife ananiuliza uliamka asubuhi ukanipigia simu? Haa nikamwambia hapana na simu yangu haina hata call dial kwenda kwake lakini yeye ana missed call kutoka kwangu. Plizzz Tigo huu sio wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.