E bwana mkuu huku naona watu wanaku enjoy tu cha kufanya wewe nenda kwa watalaamu wa maswala ya saikolojia watajua nini cha kukushauri.....hizi ni blablaaaaaaaaaaaaaaaaaa tu..
Wabongo sometyme 2nakuwa so rigid kubadilika kimtazamo....i don't why?what ur saying 'simle' is good and real positive idea so u don't need 2 pretend if u real know who ur ar some days 2 come u will be married......behave accordingly 2 ur status....
Inakuwaje wanakosa cha kusema na walishajiwekea masharti ya kuacha mgomo? Tatizo haliko kwa waziri wala naibu wake....it is the system in the ministry...kuwatoa na kuweka wengine will not solve the problem but can make it more worse than before....THINK BEFORE U ACT DO N'T BE LIKE NARROW MINDED...
Dogooooooooooooooooooo......janjaaaaaaaaaaaaaaaa lime win kuonaa kikojoleo cha msista wake sasa ungemalizia hapo kidogo maza ake alisemajee?maana dogo lilijua kila anayechuchumaa anatanua kinyeo chake atoe kimba......
Huyu dogo naye ana akili kama za kima angemwambia mi sijui au akipata nauli ndo atarudisha makanyagio yake nyumbani....nna uhakika yule mzee angeishiwa maneno...
Weraaaaaaaaaaaaaaaaaa....hii kali bwana heheheeee....sasa huo mziki waliouweka na ma-stage show wao aka wakata mauno wamewasaidia nini? kilichobaki washajua kwamba hawafagiliwi na mtu so cha kufanya ni kutumia chapaa kuzichakachua kura za walalahoi.
Wizi mtupu....sasa kiongozi anamiliki silaha kama SMG yenye uwezo wa kubeba risasi 30 halafu anasema kwamba ndo mtaji wake wa maisha inaonyesha wazi kuwa huwa inatumika kwa shughuli za uhalifu mara nyingi sababu sidhani kama sheria za nchi zinaruhusu silaha kama hiyo kumilikiwa na mtu...
Kama ni real story cha kufanya inabidi uongee na mwl. wa malezi mshauriane juu ya nini cha kufanya kabla ya kuongea naye kama staff mwenzenu mkiona jamaa siyo mwelewa inabidi sheria ifuate mkondo wake....na hatua kali za kisheria zichukuliwe...lakini pia huwezi jua labda denti pia amekupenda...
kiswahili chako kina utata kama ana govi mshauri aende kwa daktari akalitoe...kama ni ugomvi ndiyo unaomsababisha asitoe matumizi inaonyesha bado ana hasira na siyo mwelewa anataka ujue kwamba yeye ndo kidume...hapo kwake....
This is amazing coz i wonder what happens 2 MAT leaders walivyokutana na JK ikulu, inaonyesha JK ana kipaji cha aina yake kuweza kuwashawishi madaktari kusitisha mgomo bila masharti yoyote,na kuahidiwa madai yao yatashughulikiwa....kuna ukweli wowote hapo?Na hili swala la kumkataa Waziri na...
Mi nakushanga sana kwa sababu kuna wanawake kama wewe ambao wamechoshwa na tabia za waume zao kurudi usiku wa manane nao walianza kidogokidogo tu....ni vizuri jamaa awe mcha Mungu, aongee na watu ila siyo lazima aipige mitungi ndo awe na maujanja ya kimaisha...ushansoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.