Hivi viongozi wa dini ndio wamewaweka serikali madarakani? Mchague wakulaumu! Mpiga kura alichagua kiongozi wake. Kiongozi amepewa madaraka na watu na sio dini. Nadhani viongozi wa dini tunawashambulia bila sababu. Wana nafasi zao lakini sio kila mahali.
Ni wazi data zake Za Waenda chuo kikuu zinaendana na upewaji madaraka. Anayetoa madaraka leo hahusiki na waliokosa admission. Ni wazi kuna Positive correlation Kwa wasomi na madaraka. Wasaidiwe jamaa msiwaonee. Msikiti ni muhimu pia bali wangeombewa chuo au taasisi fulani. Misikiti mbona mingi...
Ni wazi Naibu spika Kwa kumuwekea kifua waziri mkuu asijibu swali: kwanza, kamuaibisha PM. PM ana akili, mdomo na hana kilema cha kushindwa kujibu. Pili: kaongeza udadisi wa suala hilo. Tatu: itamlazimu Mwenyekiti wa Chama Kesho atoe maelezo saa nne usiku kitu ambacho hakikuwa lazima. Rushwa si...
Hivi neno "uteuzi" linadumu Kwa muda gani? Nijuavyo mimi- Mtu akiapishwa uteuzi au uteule unaisha. Hivyo, mtu anapofukuzwa kazi au anaposimamishwa kazi yapaswa iwe, rais amemsimamisha kazi au kamfukuza kazi fulani. Walikuwa wateule kabla ya kuapishwa au kuanza kazi.
Hivi una IQ wewe? Unavyo argue ni dalili kwamba kama ipo inapotea. Wewe toa hoja. Wengine watahukumu kama una IQ ama la. Hoja ipo bali umeitoa kama kejeli wakati wenzio wanaumia. Maskini hadharauliwi bali anasaidiwa. Anyway: watu waliambiwa wakapuuzia. We haven't seen nothing yet!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.