Thanks much mkuu,
Kwa ufupi ninaknowledge ya solar power kwa kiasi kinachofaa.
Market survey nimefanya kwa level ya wateja wadogo,namaanisha vijijini na wilayani,kwa watu binafsi pia kwa serikali za wilayani,covering zahanatiz ,schools na mengineyo.so target ni wateja wadogo kwa kuanzia.
Na...
wanabodi,
nimekuwa nikifikiria juu ya kuanzisha biashara ya kuuza vifaa, ku-install systems na kufanya maintenance ya solar power systems kwa muda sasa.
naomba msaada wa kimawazo na taarifa juu ya upatikanaji wa vifaa,na taratibu za kisheria za kufuata
pia kama kuna watu walio kwenye biashara...
mkuu IG,
ushauri ni kwamba,kwa kila utachoona kinachukua hela toka mfukoni mwako,na hakiizungushi iyo hela kwa maana ya kuiongeza,achana nacho mapema.uza ,think of the other positive idea inayorelate na mazingira yako usonge mbele.
salaam,
nahitaji mchumba/mke
anayejiheshimu/muaminifu
mpenda maendeleo.
we can opt for ndoa ya serikali if islam
mmi ni mkristo safi, 30 years,umri wake uzingatie hili
frangerry1@gmail.com
salaam,
kama kutakuwa na ukweli kwenye hili,ukizingatia exposure anayoonekana kuwa nayo kimataifa,may be ataweza kutusaidia kwenye mijadala ya bunge hilo kwa upana zaidi .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.