Sio mpka uibiwe ndio useme alioibiwa ni jamaa yangu wa karibu amefungua sehemu ya kurekodi hajamaliza hata wiki wamempora,na Amelipa hela ya sungusungu.Walivunja kwake na kwa jirani yake.
Serikali ya mtaa Kijenge kusini inayoundwa na CCM imeanzisha sungu sungu na kuchukua hela ya ulinzi, Matokeo yake maduka manne yamevunjwa na watu wanakabwa na kuporwa simu na hela Wakati wa uongozi wa CHADEMA hapakuwa na sungu sungu na hakuna mtu aliye wahi ibiwa.
Tunaomba mkuu wa Wilaya aje...
Maro anazeeka vibaya anamfuata bajuta huyu bajuta ni jambazi wa magari kwenye pembejeo ndio usiseme serikali imemsahau ikimshutia anamfilisi hadi ndala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaelekea huyu anayetoa hizi habari anawafahamu kuliko wewe.Hivi vielelezo anavyotoa siajabu anapata kwao bila wao kujua na anakula nao anashinda nao watapata tabu sana.Kikulacha ki nguoni mwako.Mnapo comment ndio mnazidisha.
Mi sioni kama kuna kurushana kuna vyama vya wachimbaji kuna Tamida kuna mahakama bado mtu anakaa kunung'uninga nasehemu za kupata haki yako ipo kuna kitu nyuma ya pazia.
Kama wamerushwa madini yao kwanini hawakwenda mahakamani?na wakaonesha mrijesho wao wa mapato wa wizara ya madini?ili weweze pata haki haki yao?hawa wanaogomvi zaidi ya huu kurushana.
Kuna haja gani ya kupeleka watu kibao wakati kwenye chama mshapitisha majina mnayo yataka. ccm majina yao 6 wanayo ila wanaogopa lawama ya baadhi wanachama kuwakata majina yao wanataka wakafie mbele.
Usipasue kichwa kuwajibu hao vilaza,kwanza kabisa hakuna wabunge bora kama masha na wenje kutoka Tanzania ccm wamezoa kupeleka vilaza wanaokwenda buruzwa na wakenya na waganda.
Unapoingia Arusha kama unatokea moshi au uwanja wa ndege KIA ukifika maeneo ya maji ya chai,unakaribishwa na dampo lilopo kwenye barabara kuu ya moshi Arusha badala ya kibao cha karibu Arusha.Dampo hili inasadikika ni mradi binafsi wa mkurugenzi.Umekuwa unalalamikiwa na wakazi wa maji ya chai na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.