nawashauri magamba kutambua nguvu ya uma ni mbaya.Raia mmoja mwenye hasira iliyojikusanya ni sawa na askari 1000.Wanapopambana na wapinzani wanatuongezea hasira.Watakuja juta
Madaktari hawapimiki kwa kipimo kidogo namna hii.Chamsingi gov wanayokazi.Kama mkuu anavurunda namna hiyo.Kwenye hili madaktari ndio wenye mpini na mwananchi ana makali.Wananchi waliokuwa wanatetewa waweza kupigwa chini nakutafuta haki yao tu.
Wananchi waliounga mkono wako wapi?Tulisimama wenyewe,tutasimama wenyewe endeleeni kutawaliwa kibabe.Hii ni onyo kwa mawaziri wote na makatibu wote watakao simamia wizara ya afya........Lazima wawe wenye ufanisi na wazalendo....
Ndugu yangu hapo juu umeleta stori ndefu sana,tafuta nyaraka madai ya madaktari ni yaleyale, isipokua utekelezaji wake ndio ni wa mafungu.Sisi tuko chini ya chama.tunaongozwa na katiba na madai hayo yalitokana na vikao tulivyo kaa ambapo kwa maamuzi ya kidemograsia madaktari waliamua...
Huwezi kugoma forever,strategically,Serikali ilishazidiwa ujanja.Ndio maana Jk akaahirisha kuongelesha vikongwe na kuwaita madaktari.JK ndie aliyetafuta hii suluhu.Actually kwa upande wetu tumepata sehemu ya kupumulia.And i can tell you mgomo umehairishwa na mbeleni bado hauepukiki,hasa idadi ya...
Wakuu hebu nijuzeni ,sipati picha kuhusu hizo bajaji.hilo tank la maji safi hao jamaa wameweka kuuza maji au inakuaje? how many liters it can contain.Na details nyingine kama zipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.