Mimi ningependa kwanza umkumbushe mbunge wetu wa kawe mh Mdee vp kuhusu hali ya viwanja tunavyo nyang'anywa na watu wanaojiita papaa Msofe na group lake? akishirikiana na mkuu wa polisi kinondoni Bw Kenyela? ss tumesha choka kama mbwai itakuwa mbwai tu. wanavamia hadi wajane wazee na watu wasio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.