Nyie wanasheria someni vzr acheni kulalamika. Law School wako vzr sana. Sisi tuliopia pale tunajua umahiri wa wahadhiri wa pale Law School. tatizo wanafunzi wakitoka vyuoni wanajiona wamemaliza kila kitu. someni tuendelee kupata wanasheria mahiri.
Jamani Pasco, huyo si mtu mzima ana maamuzi yake mwenyewe, hata vitabu vya dini vinaeleza ya kwamba kila mtu atahukumiwa kutokana na matendo yake. Haalafu huyo ni mtu mzima, inawezekana kweli hajalelewa vzr lakini huwezi kumuadhibu mtt kutokana na matendo ya mzazi wa ya mzazi wake. kila mtu...
Hiyo ni sahihi kabisa . Kama wewe ulikuwa ni Mwl. kwa mfano baadaye ukateuliwa kuwa DED na ukawa unapokea mshahara wa DED siku unapoacha nafasi ya DED kwa sababu yoyote ile na muda wako wa kustaafu bado haujaisha unatakiwa kurudi kupokea mshaahra wako wa zamani. yaani haina maana nchi inayo...
Jambo unalozungumzia halina mahusiano kabisa, kwa uelewa wako wewe unafikiri kuna mbunge yeyote aliyerudi kundini kwa hiari yake mwenyewe.. kwanza wote waliahidiwa madaraka (rushwa). na hivyo haikuwa sahihi. hata hivyo tunawatakia kila la heri
Aihusika sana kuhakikisha wabunge wetu ambao wamechaguliwa kihalali na kikatiba wananunuliwa na baadaye kurudishwa bungeni kinyemela. huo ndio utaratibu wa haki na demokrasia anautaka Polepole. alionekana kwenye baadhi ya maeneo usiku wa manane na wabunge wa upinzani akila nao deal la kuunga...
Huyu shahidi kwanza ametoa ushahidi wake kwa kustukizwa , yaani hakuwa ameandaliwa kabla baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuendelea na mashahidi kwenye kesi ndogo, ni maoni ya watu wengi kwamba maelezo anayotoa yana ukweli wa kiasi kikubwa.
ole medeye wa ARUMERU MAGHARIBU itabidi naye atafute kazi ya kufanya bila kumsahau Augustine lyatonga Mrema, Job Ndugai wa Kongwa na Hamadi Rashidi Hamadi,
Mary Chatanda hawezi kuondoka kwani yeye ni mbunge wa viti maalum Arusha kawani akiondoka kura zitapungua kwenye baraza la madiwani. chezea ccm wewe. Punda afe lakini mzigo wa bwana ufike.
Wazo lako ni zuri lakini jinsi ulivyopata hayo majina ndio inatia shaka sana. ungetuambia metodology uliyotumia katika hayo majina ndio tuweze kupiga kura. jambo la pili ni kwamba kwa nini utumie simu yako ya mkononi kwa ajili ya kupiga kura. ungeweka hapa hapa jamvini moja kwa moja ili tujue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.