Serikali yetu hufanya kosa kubwa sana inapo ruhusu Wazee wa miaka 60 na zaidi,kuajiriwa kwenye kazi za usafishaji wa barabara na Madampo ya Uchafu.Pamoja na hilo lakini bado mishahara yao ni midogo sana.Wengine hulipwa hadi 35,000/= kwa mwezi.Wengine hukosa chakula nahata kuamua kutafuta mabaki...
---Asnte mkuu kwa hii useful advice...binafsi sitakua huru kuwa artificial father as if baba halisi is dead, but also sitakua na amani akifanya abaortion japo sijamshauri afanye abortion... For more than 2 years nimekua karibu na huyu dada na nimekua namshauri mambo mengi ya msingi that's why...
mkuu sijamshauri atoe mimba ila yeye amenipa condition nikubali akiulizwa baba wa mtoto aseme ni mimi, otherwise hayupo tayari kumtambulisha aliempa mimba, so ataitoa
Habari za muda huu wungwana.. Kuna msichana ambae tuna urafiki wa karibu (sio wapenzi) ila kwa ukaribu wetu baadhi ya watu wanahisi tunagegedana. Ni msichana ambae anapenda kujirusha..it happened siku hiyo ameenda club akiwa na mvulana ambae alishawahi kumtongoza (ila hakuwahi kumkubali)...
name has nothing to do with behaviour. it will be the sense of immaturity (nonsense) to treat someone negative just because they have the same name as an ex..
Usiolewe sababu rafiki zako wote wameolewa.
Usiolewe sababu class mates zako wote wameolewa na wanawatoto.
Usiolewe sababu umemaliza chuo, unaishi mwenyewe na unakazi nzuri.
Usiolewe sababu kila mtu kanisani anakuuliza pilau tutakula lini.
Usiolewe sababu wazazi wanataka kumuona mkwe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.