Hivi Jk na chama chake hawajala hizi pesa za mafisadi? kwani ccm inajiendeshaje, c kupitia huo ufisadi tu jamani?
ukiteuliwa lazima uipelekee ccm fadhila huo ndio mkataba...
mwanangu alizaliwa kwa kuchelewa kabla ya mama kufanyiwa operetion
na baadae aliishiwa nguvu kiasi cha kulishwa kwa kumkamulia maziwa ya mama.
maendeleo yake kwa sasa, miaka2 inaonekana ni slow sana kimawasiliano, na hana balance
hajatembea bado, ila anapenda sana kucheza kwa kurusha miguu na...
mwanangu alizaliwa kwa kuchelewa kabla ya mama kufanyiwa operetion
na baadae aliishiwa nguvu kiasi cha kulishwa kwa kumkamulia maziwa ya mama.
maendeleo yake kwa sasa, miaka2 inaonekana ni slow sana kimawasiliano, na hana balance
hajatembea bado, ila anapenda sana kucheza kwa kurusha miguu na...
mtoa mada hajui kwamba bado kuna maovu mengi ya maige ambayo hayajatolewa hewani.... kuna mengi tu..
habari ya ujangili wa tembo bado haijazungumziwa, watumishi kuhamishwa mara nyingi kama dili mfano
bwana rwelamila, ngowi, madanya..... huyo rwela katoka mpanda hadi mwanza, ndani ya miezi...
Asalaam ndgu wanajamvi,
nina mwanangu sasa anaelekea kufikisha miaka miwili lakini hajaanza kutambaa wala kutembea, lakini yuko
active sana miguuni na mikononi... kulikoni jamani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.