chenge, balali, ,,, tuliskia wana elimu kubwa tena za ulaya wakaishia kutuibia mabilioni. uzalendo, uwajibikaji, busara na hekima havihitaji kuwa na vyeti vinvojaza sanduku. elewa toka leo ewe usiyejua.
<BR><BR>hii picha inajisoma yenyewe kuwa kuna watu wameletwa hapa kinyume na dhamira ya mioyo yao. hawa ni wale wanaoonekena dhahiri wanamsononeko wa mawazo, hawajanyoosha mikono kama wenzao na hata mawazo yao hayako na ccm. umaskini ndo uliowaleta hapo na wala sio mapenzi kwa chama.
sio kama maskini tu ni kama msukule. kwa kweli wanatia huruma watu wa kusini. ikataeni ccm na ufisadi wake wote mpate kujikomboa enyi watu wa kusini. mnataka kuishi kwa taabu hadi lini?
kwenda zako kule jehanamu ewe ibilisi mkuu. ewe mola majitu kama haya yanayonyonya watanzania hata wale maskini ni kuwapiga kwa upofu na ukiziwi kwa wakatimmoja.
majitu kama haya ni kuyaacha yabweteke hivohivo. maana hayatakuwa na mda wa kujikosoa na kujikomboa. wkt m4c inasonga mbele wao ni kujipa moyo tu. mara wachaga mara wakristo mara kaskazini. yanajipa moyo tu maana yanajua hata hao wachaga peke yao wakiamua kuwangoa uwezo wanao. mungu akupige na...
kama bwana nape unafuatilia michango ktk hii mada uliyoweka humu jamvini, utagundua kuwa woote waliochangia wako against wewe. natumaini wengi ni vijana, ndio inajulikana vijana ndio wachangiaji wakuu humu jamvini japo wapo wazee wachache. ushauri kaa chini tafakari kwa kina jiulize kwa nini...
kikwete atasamehewa na watanzania pale tu atakapoacha na kukubali peolples power imiliki nchi yao 2015. akichakachua tena ajue tutajamzika katikati ya bahari kama osama bin laden.
mkuu taarifa ilishatoka kuwa leo ni siku ya kwenda kukata rufaa ya kamanda lema. nasari yuko karibu sana na kamanda hawezi kumwacha peke yake. kama kuapishwa keshaapishwa na wapigakura wake iliyobaki ni fomality tu basi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.