Asante.
Umegusia sehemu ya kile nilichotaka kugusia.
Mercy ataendelea kuwa na muunganiko na Dokta siku zote za maisha yake kwa sababu tayari kuna kiumbe kinachowaunganisha. Hata kama hawatakuwa pamoja iwe kimawasiliano au kimahusiano, daima watabaki kuwa Wazazi wenza.
Ingekuwa vyema, endapo...
Inasikitisha sana kuona jambo hili ni kama linafanyiwa mzaha licha ya kutawaliwa na malalamiko mengi toka kwa wananchi.
Kauli zimekuwa nyingi kuliko uhalisia wa vitendo, so sad
Hii pia majuzi imemtokea jamaa yangu wa kijiweni. Yeye amezoea kujiunga kifurushi hicho kwa 30k kila mwezi ambapo hupata Gb 10 na muda wa maongezi.
Cha kushangaza, alipojiunga na kupiga simu akaambiwa hana salio. Baada ya kujiridhisha akakutana na hali hiyo, kwamba muda wa maongezi aliojiunga...
ni "Soul tie"
Binafsi kuna baadhi ya nyakati huwa na-experience jambo hilo.
Kunae ex wangu mmoja tuliachana yapata miaka mitatu iliyopita, lkn sometimes namkumbuka japo si kwa kiwango cha kuathiri mahusiano niliyonayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.