Heri ya Sikukuu ya Pasaka!
Majuzi, tarehe 31 Machi 2013 ilikuwa siku ya mwisho kwa kumaliza robo ya kwanza wa mwaka 2013. Miezi mitatu imekatika huku wananchi wakizidi kukosa matumaini. Ni dhahiri kwa kuangalia matukio ya miezi hii mitatu tu, utaona kuwa CCM na serikali yake wamepoteza...
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amenukuliwa akikanusha kutanganza kuwa Dkt. Slaa atakuwa mgombea wa Urais kupitia CHADEMA 2015. Alifafanua kuwa, alichokisema katika Mkutano wa hadhara Karatu mwishoni mwa wiki ni kuwa;
1. CHADEMA haina Mgogoro bali ni mitazamo...
Wakuu,
Naomba kama kuna mwenye nakala ya hukumu za mashauri yafuatayo;
1. Shauri la Uchaguzi Igunga
2. Shauri la Uchaguzi Sumbawanga Mjini
3. Shauri baina ya Serikali na Walimu (hili la mgomo wa juzi)
4. Shauri baina ya Serikali na TUCTA (Mgomo wa 2008 nadhani)
5. Shauri baina ya serikali na...
Ndugu yangu TUNTEMEKE,
Sijaangalia historia huko nyuma kuangalia kama kuna mtu aliwahi kuanzisha mjadala unaokuhusu, lakini napenda kuchukua fursa hii kuanzisha mada mahsusi dhidi yako.
Tangu nijiunge na rasmi JF (ingawa nimekuwa msomaji na mfuatiliaji wa forum hii tangu enzi za Jambo)...
UTANGULIZI
Wote tulisikia kwenye vyombo mbalimbali vya habari juu ya uwepo wa mkutano wa hadhara katika viwanja vya Jangwaniulioitishwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) ukiwa na maudhui ya Kutoa Msimamo Wake Juu ya Masuala Yanayogusa Mustakabali wa Taifa hususan katika maeneo makubwa matatu:
(a)...
Katika kile kinachoonekana kutishwa na mwitikio wa wananchi wa Mto wa Mbu, viongoji vyake na maeneo ya jirani kwa mkutano mkubwa wa hadhara uliokuwa ufanyike siku ya Jumamosi, 02/06/2012, serikali kupitia jeshi la polisi Wilaya ya Monduli imezuia Mkutano huo.
Taarifa ya uongozi wa CHADEMA Mto...
Katika kuendelea kueneza elimu ya Uraia, kuimarisha Chama na kueneza dhana ya Vuguvugu la Mabadiliko(M4C), na kuzindua Ofisi ya Chama Kata, viongozi waandamizi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) wikiendi hii watafanya mkutano mkubwa wa hadhara katika Mji Mdogo wa Mto wa Mbu ulipo...
Wakati naanza kidato cha kwanza enzi zile za Chama Kimoja, mojawapo ya masharti ya shule yalikuwa kuwa mwanachama wa UVCC.
Mimi nilikuwa miongozi mwa wanafunzi wachache walipinga na kukataa mchango ule wa Shilingi mia.Nashukuru nilifanikiwa kuwasilisha hisia zangu.
Leo imeendelea kubainika tena...
Jana (08/05/2012) katika taarifa ya habari ya saa mbili usiku kupitia ITV, mtangazaji Renatus Mubabuzi aliripoti juu ya kuharibika kwa mkokoteni uliokuwa unatumiwa na wananchi wa Kiromba/Nanyamba, Wilaya na Jimbo la Mtwara Vijijini kwa ajili ya kuwabebea wagonjwa na kuwapeleka katika vituo...
Mh Mbunge,
Sisi wapiga kura wako wa Ubungo, hasa maeneo ya Plaza na Ubungo NHC, tunakuletea kilio chetu cha ubovu usiomithilika wa barabara za mitaani.
Ni kwamba, Shirika la Hifadhi ya Jamii(NSSF) Mkoani wa Kinondoni, wamekuwa kltika zoezi la kuweka mfumo mpya wa maji taka na hivyo kulazimika...
Kaka yangu Mwigulu,
Awali ya yote nikupe pole kwa kupoteza Jimbo la Arumeru Mashariki kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
Kaka, Utakumbuka tangu mchakato wa Kura za Maoni, kulikuwepo tetesi ndani ya CCM kwamba wewe, Nape na wanachama wengine hamkuwa mnamuunga mkono Sioi.Ulikaririwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.