Kama Wakili Msomi, ulikuwa na haja ya kufanya personal attack kwa Wakili Mgaya? Yeye ni mtu wa kwanza kufeli akarudia na kufanikiwa?
Je, unaweza ukatuambia Prof Kabudi - ambaye unasema unamfahamu sana - kama hakuwahi kufeli maishani mwake? Katika masomo yake?
Kufeli mitihani ni kosa? Ni...
Poleni sana kwa yaliyotokea hapo Tigo Huawei Project. Wakati ikiwa sina ni na dhamira ya kupinga ulichoandika, naomba nikupatie elimu na ufahamu juu ya mambo ya uhamiaji na vibali vya kufanya kazi.
1. Idara ya uhamiaji - kwenye mipaka au ofisi zao - hawatoi business visa. Hizi zilikuwa replaced...
Bahati mbaya sana mtoa mada umetoa habari yako kwa ushabiki zaidi kuliko kuleta mada ili iweze kusaidia wasafiri;
1. Nilitegemea ungeweka namba za gari husika; maana ubaya wa Osaka Raha moja siyo ubaya wa Osaka Raha jingine
2. Umelalamika kutokupata fursa ya kuchimba dawa Kahama - Singida;je...
Ndugu yangu,
Naona umeamua kutafuta kick ya kisiasa. Maana umeanisha uzi zaid ya 4 ndani ya mauma mawili zote zikikupamba kweli kweli kuwa unafaa uwaziri na mambo kadha wa kadha. Haya unayoyadai leo ungeyadai Enzi uko Mzumbe University, au wakati uko FCC kama Afisa Utumishi ningeona kweli una...
Kwa hiyo na mikusanyiko yote Nyegezi, Buzuruga, Mwaloni, Iloganzala, Kirumba Sokoni, Makoroboi, Tanganyika Bus, Igoma Sokoni, Makanisani, Misikitini, Kamanga Ferry, Nyehunge Ferry, Busisi/kigogo ferry, Rock Bottom, Villa, Jembe nayo imepigwa marufuku?
"Africa is a dark continent" -...
Manyerere,
Mabadiliko ya kweli ni kutumia barabara kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma? Shame.
Nikusaidie kukufahamisha tu ni kwamba; msafara huu wa magari mashangingi kutoka Dsm kwenda Dodoma ni gharama kuliko kutumia ndege/chopa. Kiusalama, time wastage, mafuta na maengenezo ya magari kutoka...
Manyerere, come on mzee mwenzangu. You are better than this. Please! By the way, yule msafiri wetu hajafika bado? Maana Ndege ya mchana imeshatua kimya; labda tusubirie ile ya mwisho.BBM
Hivi wewe mjaa laana, kati ya Dkt Slaa na Baba yako nani Babu? Kati ya Makene ya Baba yako nani mpiga ramli.na gagula? Maana aliingia BMK kupitia vigagula..
Kwa kweli tunachoweza kusema ni neno asante kwa mwenyezi Mungu kwa kutuletea kiongozi huyu mwenye uhakika wa kutatua matatizo ya watanzania na siyo kuwapa watu matumaini..
Mkuu wangu Molemo kila niamkapo asubuhi na kila nilalapo usiku humshukuru MUNGU kwa ajili ya kutupatia hiki chama - CHADEMA na viongozi wake. Wasraeli walipokuwa utumwani Babeli na hata walipokuwa chini ya utawala wasioupenda - Utawala wa Rumi - walimwomba MUNGU awapelekee Mkombozi. Na kweli...
We mwana izaya, mwana mtoka pabaya, wenye jiji la Arusha ni hao waliosombwa na malori na maasi kutoka sehemu zote za Tanzania kwa gharama ya mabilioni ya shilingi? Hakuna cha bure, mjiandae ulipa hela za watu...maana Mwenyekiti wenu alisemaga "kula uliwe". Cc Mungi
Udhalimu wa waandishi wa habari na wahariri wao haukuanza leo. Marehemu Ben Rashid Mtobwa (mwenyezi MUNGU akurehemu na kukupa raha na mwana wa milele) alipoandika kitabu cha "PESA ZAKO ZINANUKA" miaka 30 iliyopita, aliuelezea udhalimu wa waandishi wa habari na wahariri wao kwa kupokea rushwa...
OKW BOBAN SUNZU
Lowassa ni mdhalimu sana. Aliwahadaa wana jimbo lake kuwa atawawekea lami kwenye barabara zote za "mitaani" za miji mikubwa Jimboni kwake. Alichokifanya akachukua hela za mfuko wa Jimbo, akazitumia kuweka Lami barabara za hapo Monduli Mjini hadi kwake tu.
Udhalimu huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.