Vijana wenzangu nawashauri mjaribu kufikiri nje ya box bz msharaha cyo issue ya maana ki-hivyo. Mimi niliajiriwa sikuja mshahara wangu utakua ni Tsh ngapi ila nilijua kua jamaa wamenikubali na wamependa utendaji wangu nipop kwenye agency ya serikali na napiga karibu 2ml
Nahisi mleta huu uzi amemaliza form four last year na alipata Division 5.
Ninaamini kichwa chako siyo kitupu kabisa walau unaweza kujua japo 1+1=2. kama kweli unaweza kufikiri kwa kiwango hicho plz hebu tumia japo 5 min kufikiri sawasawa badala ya kutumia akili zako kwa kuvukia barabara tu. Je...
Ninamashaka na matumizi ya hakili zako na nashawishika kusadiki kua hata katiba iliyopo hujawahi kuisoma hata ibara moja. It seems that tatizo lako ni zinakotoka pesa na siyo mikutano, any way''you'll understand it when a man with a long cort stand and nock your door bz u'r the next victim''...
In Memory of Ramadhani .K (Councelor Ifakara Town) I think about you all the time,
And everyday it hurts to cry.
So much has happened in my life because of you,
I'm not sure how hard to try.
Tears are falling constantly,
My heart hurts every day.
I think about your beautiful smile,
That I pray...
Wewe Ukwaju ni muongo na Mzushi mkubwa, nina shaka wewe utakuwa ni mmoja wa wadhaifu.Ukweli ni kwamba vifaa hakuna hata hapa Dodoma mjini hakuna na kama unakumbuka mimi jana nilizungumza kuhusu hilo na wenye akili timamu wote walielewa isipokuwa wewe tu ambae ni dhaifu
Jamani wadau hebu tushirikiane kufikiri katika hili. Mimi ni miongoni mwa makarani wa sensa hapa Dodoma kata ya K/NDENGE, jana nilipewa madodoso 40 na nikamaliza yote, leo nampigia simu msimamizi ili aniletee madodoso mengine naambiwa niende ofisi ya kata nikachuke, kufika hapo ofisini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.