Natafuta mwalimu wa kubadilishana nae kituo cha kazi elimu msingi.
mimi nipo wilaya ya kilindi mkoani Tanga. napendelea kwa aliyeko mikoa ya Iringa, Mbeya, Pwani, na Ruvuma.
aliye tayari anitaarifu kupitia hapa. PM kwangu au andika hapa chini.
Wadau,
mimi ni mdada wa miaka 27 nimemaliza chuo mwaka jana. Mweupe, mnene wa wastani, mrefu, sinywi pombe na sivuti sigara. Naishi maisha ya wastani. Mimi ni mkristo
Natafuta mwanaume wa kuwa naye ktk maisha awe na umri wa kuanzia miaka 26-40, awe anajitegemea kiuchumi(awe anajituma...
Mh! Tunduru?
Kwa nijuavyo hakuna sehemu ngumu kama Tunduru kwa mabadiliko ya kisiasa.
CUF ndicho chama pekee cha upinzani chenye nguvu.
CHADEMA wana diwani mmoja tu. Bwana Kazembe wa kata ya LIGUNGA.
Lakini wana mtaji tayari, kwani ktk kata ile CHADEMA imeigalagaza CCM na CUF mihula...
We msomali? Kuna umuhimu wowote wa kutaja race? Then unakuja unatudhalilisha wanawake hapa? Umesoma kweli wewe? Nina mashaka na umri wako. Labla ni dogo unayebalehe. Acha kutudhalilisha wadada. Kama huyo mlikubaliana ndo umtangazie? Jitu zima ovyo!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.