nikweli huyu jamaa mimi nimemkubali na nimwanadiplomasia wa ukweli radio za nje kama bbc,voice of america etc wanamtumia vizuri kuliko media zetu za hapa nyumbani
kweli haya majina ya walio chaguliwa yanatia moyo na kama kweli hawa walichaguliwa wanaipenda inchi yao basi tunaomba watende haki MUNGU IBARIKI TANZANIA
jamani mimi nashindwa kuelewa,iweje hukumu imetoka jana saa 4 asb,halafu baadhi ya viongozi wa ccm wanapo hojiwa wanasema wamejiandaa vyema kuchukua jimbo.je?wamejiandaa saa ngapi?au walijua matokeo muda mrefu na wakapata muda wa kujiandaa?
kuna rafiki yangu ni HAKIMU ARUSHA kaniambia kuwa jaji kituo chake cha kazi ni RUVUMA SONGEA na sio kweli kuwa anakimbia ARUSHA baada ya hukumu ya LEMA na kuwa anahofia maisha yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.