Habari wakuu,
Leo naomba niulize swali ambalo kama watu watajibu litasaidia wengi pia.
Miaka ya karibuni kumekua na watu wengi wanafanya remote jobs hasa huko US ila ukiwa popote duniani.
Wenye experience na hii mtusaide kama kuna links za job advert na muongozo jinsi ya kupata.
Imagine uko na mtoto wako mmeshika bomba konda anakufokea ujipange vizuri abiria wengine waingie[emoji1787][emoji1787]
This is embarrassment of the lifetime!
Imagine dunga dunga ana mdunga mkeo au dadako au mama ako mbele yako, huna cha kufanya utia tia huruma kama kubwa jinga.
Imagine umeoga...
Sabato njema,
Leo nimeamka na Kiranga na atheist wenzake wote.
Kuna hii sentence huwa unaipenda " Mungu mwenye mjuzi wa yote, uwezo wote na upendo wote " hayupo kwasababu kuwepo kwa ulimwengu unaoruhusu mabaya yatokee ni contradiction (inasemekana kuumba yeye) na inakosa logical consistency...
Kichwa cha habari kinajieleza.
Bando MC:
Joyner Lucas:
Anyways, naona sasa watu wanaanza kupata guts za kumchana Mungu live na ku query mambo ya dini publicly hasa huku third world countries ambapo idadi ya nyumba za ibada ni kubwa kuliko viwanda, miaka kadhaa ijayo hizi dini zitapata...
Habari za jioni wakali wa tech,
Week iliyopita wife ame flash techno camon 11 baada ya kusahau password.
Nawezaje kuzipata data zote, maana alikua anazitunza kwenye phone memory moja kwa moja,
Note: Ameshaanza kuitumia hiyo simu tena.
Hello wataalamu wa IT,
Nashindwa ku-run utilities/command prompt baada ya ku-install xampp kwa macbook pro 2011, msaada tafadhali.
MK254 CHIEF MKWAWA Stefano Mtangoo et all.
Habari za kazi watu wa Mungu,
Hivi kuna ambaye amepata admission chuo (tofauti na OUT) kwa kutumia matokeo ya foundation ya open katika selection za mwaka huu?
Sent using Jamii Forums mobile app
N.B: Mode heading isomeke" kuna waliopata admission kwa matokeo ya Foundation ya OUT?".
Watu wa Mungu nawasalimu kwa jina la jamhuri.
Umekuwepo msemo eti ujijua programming vizuri utapiga sana pesa, lakini kila unayemuuliza unapigaje pesa hafunguki kabisa!
Sasa wataalamu hebu leo mtutoe tongo tongo, ukiiva vizuri katika coding unawezaje kupiga pesa? Tusaidiane vijana wapate...
Hi bosses,
Nimemaliza diploma ya clinical medicine 2011.
Sasa na-plan kupiga shule this year, ila kuna kitu kinanitatiza with regards to GPA inayohitajika wakati wa admission.
Ile paper ya NACTE (wizara ) ya NTA level 6 nina GPA ya 3.7, ila cumulative nina GPA ya 3.0 ,sasa wana consider ya...
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.
Nina swali kuhusu hii Bsc in Data Management inayotolewa pale Open University of Tanzania.
1- Competency, unaweza kutoka ukiwa competent enough kwa nature ya shule ya distance learning to be specific pale OUT?
2- Baada ya ku-graduate, chances za...
Habari watu wa Mungu,
I have idea ya kutengeneza biomedical equipment /software ila kuanzia development yake mpaka ku-implement inatakiwa fungu kubwa, so nawezaje kupata fund whether kutoka makampuni ya software au biomedical, kuanzia kuandika seducing proposal mpaka kupata mdau.
Thanks
Habari za weekend watu wa Mungu,
Binafsi driving licence yangu ime expire December 2020, na ilikua na class ABD.
Hivyo nataka kui renew, sasa swali la msingi ni kwamba iwapo nita renew mwezi huu na ikawa ABD hiyo hiyo ambayo ita expire baada ya miaka 5.
Je labda mwezi wa tano au wa tisa(any...
Za jumapili wapendwa
Nimekua nikitaman kujifunza meditation for so long lakin kusoma vitabu bila Ku practice inakua haimake sense na bila mwalimu Ku practice inakua ngumu
Sasa nimefuatilia wapi ntapata mwalimu kuna kanielekeza mikocheni -Tanzania meditation centre (wanafanya na yoga...
Hivi karibuni kumekua na malumbano mbali mbali ya hoja kuhusu uwepo wa mungu,kuhusu either yupo au hayupo
Wanaomanini wamekua wakisema kama hayupo ni kwa nini uhai upo na vyote viujazavyo ulimwengu,lazima kutakua na super designer ambaye wanaamini ni mungu.
Wasioamini nao wanasema kutokujua...
Wakuu poleni na majukumu.
Binafsi mimi ni mjasiriamali na mwajiriwa pia.
But nimepanga nisome open university kutokana na kubanwa na majukumu ya kimaisha.
So nimekwama sijui ipi bora kati yao kwa maana ya kwamba nataka nipate skills za kusimamia biashara zangu tu na si kuajiriwa na pia sina...
Jamani wadau naomba mnijuze kuhusu haya mambo mawili tafadhali,1.hivi nini maana ya proxy na nini matumizi yake.2.nina modem yangu ya vodafone nimei unlock tangu mwaka jana na ninatumia airtel chip,sasa hivi yapata wiki 2 nilikua na tatizo la kushindwa kuconnect(unable to connect),sasa hivi ina...
Jaman naombeni mnijuze,hivi nin maana ya proxy,na ni nini matumizi yake??ni neno ninaloliona kila siku halafu silielewi kabisa,shukrani kwa msaada wenu.
Jaman wadau naomba mnisaidie kuhusu hili jambo,nlikua na mwanamke/mpenzi wangu nlikua nampenda sana kupita maelezo.Ikaja ikatokea akaanza kunibadilikia,visirani kila saa tukiwa na miadi haji bila sababu za msingi na wala hapokei simu baadae ukimuuliza anasema alikua tight alishindwa kuja vile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.