I am sure njia zote zinazotakiwa kutumika zilitumika....kama umewahi kusoma katika "chuo kikuu" kama UDSM au MUHAS et al utakuwa unafahamu haya mambo vizuri.Mara nyingi kama sio zote viongozi wa wanafunzi kwa ujumla wao hawawezi ku'take risk kubwa hivyo kama hawajapitia hatua zote na...
Taasisi ya kanisa haikupaswa kuwa sehemu ya mfano wa kuigwa kwa kutoa, kutetea na kulinda haki za wanaowahudumia? haikupaswa kuwa ndio sehemu ya kuigwa na taasisi nyingine kwa kutokuwa na harufu ya matumizi mabaya ya fedha au madaraka?
Wacha chuki za kijinga wewe!..unafikiri wewe tu ndo unayeangalia TV?..they ar reporting haya mambo perfectly well...they are professionals hawaendeshwi na mihemko ya kijinga kama wewe!....to hell na mikakati yako ya kuleta chuki katika jamii yetu
This is shit nonsense!...kwa kama shirika linaingiza faida ajigawie yeye hiyo faida?..hilo shirika ni la kwake?...si aanzishe kampuni yake?....kwa hiyo na mawaziri,makatibu wakuu wagawiane faida zinazopatikana kwenye wizara zao?....wanaofanya kazi hazina,tra bandari nk wajigawie faida au...
Hii inathibitisha yalotolewa na zile tafiti zilizompa mheshimiwa ushindi.....
Who told you the problem at Muhimbili is lack of beds?....
Tuache kushabikia vitu ki..jinga jinga tu!...Ushawahi kuingia kwenye wodi za muhimbili?
Shida ya kufanya mambo kwa kukurupuka....sasa sijui hivyo vitanda wataenda kuviweka nje ya mawodi wawalaze wagonjwa huko au wataviweka wapi!!!!!...loool
Hiyo ni michango iliyotooewa kwa ajili ya party.....yeye si angeanzisha mchango kwa ajili ya kununulia vitanda Muhimbili?..aliomba mchango wakakataa kutoa?......sioni kama ni jambo la kusifia saaana......
mmmm ina maana mpaka ujue sheria???!!!!??....sasa kuna jambo gani gumu uliloelezea hapo amabalo mtu mwingine akiisoma hiyo katiba hataelewa mpaka awe anajua/amesomea sheria?
Jambo gumu ambalo linaweza labda kueelezwa na wanasheria ingekuwa ni kuelezea kinyume chake...Yaani kwamba Sheni sio rais...
Mkuu hiyo katiba ndo iko hivo au umekosea wewe?....maana ya MTU HATAENDELEA kuwa rais ni nini?...au wenzetu wana kiswahili cha tofauti?.....Hebu soma tena hiyo quotation yako ya hicho kifungu cha katiba......inaleta maana?
Na wewe nani kakwambia hawajapokelewa?
(kuna mtu kauliza hapo abt cases za richmond/dowans etc...kama kweli zilisikilizwa kwenye hiyo mahakama...ilikuwa ni 'state' gani iliyoeleka hiyo case?)
Mbona hiyo idadi ya kura za wagombea ni nyingi kuliko idadi ya kura halali kwa mujibu wa hiyo habari ya FikraPevu?..."mmepanga kuleta uchochezi"..."mmekosea bahati mbaya"...au ndo Lubuva alivotangaza hivyo?...(ukiwa mvivu kujumlisha zote basi jumlisha tu hata za Magufuli na Lowassa)
I stand to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.