Kutulia na kuzaa ndio mpango, Cha muhimu hudhuria clinic upate ABC ya kumtunza mtoto aliyezaliwa, aliyeko tumboni na wewe mwenyewe. Mmoja mmoja ndio mpango zingatia Uzazi salama
inasikitisha kama ni kweli dada zetu imefika mahali wanajirahisisha hivyo! lakini na wewe mpaka utongoze wote hao inaonyesha wazi hujatulia. kama unapenda sana hiyo mambo tafuta kimwana mvishe pete uvute ndani, Acha kuhangaika. mwisho wa uovu aibu mwana!!
mbona ni uzuri mtupu! hakuna ubaya wanaume tulio wengi tukipewa heshima zetu na sisi tunaoza kabisa juu yenu! na hata wakina macho kodo hapa ndo husema tumelishwa limbwata kumbe mtoto anjua kusogeza kete,mtoto mashalah! utadhani kazaliwa Tanga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.