Search results

  1. kajoli.com

    Chama cha Mapinduzi(CCM) wamtoa machozi Eric Shigongo, wamwambia kunywa maji

    Inauma sana, kwa nini baadhi ya watu wanadharau shughuli za wengine!!!? Mungu anawaona..
  2. kajoli.com

    Nina mimba na mtoto ana miezi minne, naomba ushauri wenu nifanyeje?

    Kutulia na kuzaa ndio mpango, Cha muhimu hudhuria clinic upate ABC ya kumtunza mtoto aliyezaliwa, aliyeko tumboni na wewe mwenyewe. Mmoja mmoja ndio mpango zingatia Uzazi salama
  3. kajoli.com

    RC Makonda: Nafikiri kuna haja ya kupunguza watumishi Serikalini

    Huo utafiti hadi kupata hizo asilimia kaufanya lini, Viongozi wa sasa kwa kutafuta kick hawajambo
  4. kajoli.com

    banks

    wa2 wanaiba mpaka sindano! wataacha kalamu?
  5. kajoli.com

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    mawazo yakizidi unakuwa zaidi ya mjinga
  6. kajoli.com

    Kesi ya Constantine Petro Kizaka - Ni kweli alikuwa mwendawazimu wakati anamuua mkewe...?

    Dah! nahisi siwezi kuwa hakimu, kwani kwa issue kama hizi mimi naagiza .:A S embarassed:nyundo hapohapo mahakamani namaliza mwenyewe
  7. kajoli.com

    jaza nafasi iliyoachwa wazi

    kweli wewe ni mbu..., uliyekosa zi..., umepandwa na uchi..., unatukana waza...!?
  8. kajoli.com

    Mazishi Ya Kichaga

    nashemererwa mno! rakini kiasiri wachagga hawawezi kuwa na international name kama koku! Hiro riko bukoba pekee!!!!!!!!!!!!!! ULIMUU!!!!!!
  9. kajoli.com

    Baby Specialist

    pepo la ngono ndilo linaloanza kumpagaa m2
  10. kajoli.com

    Wimbo wa Taifa

    dah! jamaa chizi nini!?
  11. kajoli.com

    Hello

    feel at ghetto!:yell:
  12. kajoli.com

    Hello..

    Have a sofa plz!
  13. kajoli.com

    hodi

    karibu mwana!
  14. kajoli.com

    Greetings

    Welcome!!!!!!!!!! yani karibu
  15. kajoli.com

    Salatooooooooooooooooooo!

    kama huna jealous, rudisha majibu!!
  16. kajoli.com

    Maisha ni kitendawili...wengi hufa bila kutegua...

    Really! Maisha ni fumbo na mwishilio neno ningejua linachukua nafasi
  17. kajoli.com

    Wanawake wa kahama

    inasikitisha kama ni kweli dada zetu imefika mahali wanajirahisisha hivyo! lakini na wewe mpaka utongoze wote hao inaonyesha wazi hujatulia. kama unapenda sana hiyo mambo tafuta kimwana mvishe pete uvute ndani, Acha kuhangaika. mwisho wa uovu aibu mwana!!
  18. kajoli.com

    Kuna Ubaya Wowote?..

    mbona ni uzuri mtupu! hakuna ubaya wanaume tulio wengi tukipewa heshima zetu na sisi tunaoza kabisa juu yenu! na hata wakina macho kodo hapa ndo husema tumelishwa limbwata kumbe mtoto anjua kusogeza kete,mtoto mashalah! utadhani kazaliwa Tanga
  19. kajoli.com

    Ninatafuta mume wa ndoa

    ngoja nimjulishe broo, maana ndio mtawezana!
  20. kajoli.com

    Asiyesikia la mkuu....!

    dah! mbavu sina............
Back
Top Bottom