Search results

  1. MWENYE HEKIMA

    Jina zuri la mtoto wa kike

    Duh sio mchezo mkuu
  2. MWENYE HEKIMA

    Tujuzane zaidi jinsi ya kuwa muuza hisa na bondi

    Hello Mr Nasri, Uzi wako ni mzuri mno sema wachangiaji sio wengi kwasababu hii elimu ya udalali wa kuuza na kununua hisa na bondi na elimu flani hivi ilijificha ila ni bonge moja la fursa. Nimebanwa kidogo na majukumu naomba nipe mda nitakuja kushusha ndondo kwenye huu uzi na maswali yako yote...
  3. MWENYE HEKIMA

    Punyeto imenimaliza

    😆😆😆
  4. MWENYE HEKIMA

    Punyeto imenimaliza

    nabidi basi aseme neno
  5. MWENYE HEKIMA

    Punyeto imenimaliza

    haha kwanini mumbebeshe zigo la misumari
  6. MWENYE HEKIMA

    Wako wapi hawa watu?

    wanakuja naanza na huyu mwana Ritz
  7. MWENYE HEKIMA

    Kama Saudi Arabia wanasherehekea Eid Ijumaa inakuwaje BAKWATA wadai mwezi haujaonekana?

    Elewa kwanza maana ya Eid al-Fitr, Pasaka na xmas ndo uje ukoment
  8. MWENYE HEKIMA

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Umesomeka vizur mkuu, shukran sana
  9. MWENYE HEKIMA

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Well said mkuu CHIEF MASALAKULANGWA
  10. MWENYE HEKIMA

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Shukran sana mkuu kwa maelezo mazuri
  11. MWENYE HEKIMA

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    I hope uliuelewa vizuri, wekeza maisha ni mfuko mzuri sana kwa malengo ya mda mrefu
  12. MWENYE HEKIMA

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Online tu kupitia shortcode *150*82#
  13. MWENYE HEKIMA

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Kaka UTT itakufaa sana utakuja kunishukuru nakwambia Tommy 911
  14. MWENYE HEKIMA

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Ukieka kwenye mabenki watakupa 2% to 7% (p.a) ila UTT anakupa 10% to 14% (p.a)
Back
Top Bottom