Wadau hatimaye Seketarieti ya ajira wamefunguka juu ya nafasi za kazi zilizotangazwa na www.eastafricajobscareer.com. tangazo hilo la kughushi na lenye nia ya kupotosha umma. Tunashukuru Sekretarieti kwa tamko hili maana vijana wetu walikuwa ktk mkanganyiko.
Mimi ni mdau mkubwa sana ktk mitandao ya kijamii, Hupenda kutafuta habari mbalimbali na kuwapatia vijana wenzangu ambao hawana access ya moja kwa moja na internet. Kuna kipengele cha ajira/ nafasi za kazi zinazo kuwa posted ktk mitandao mbalimbali, huwa natafuta vyanzo then nawajuza vijana...
ndugu yangu chief mkwawa hapo umetugusa wengi kwani nami pia ni begginer.... natakuwa kuwa na download softwarez mbalimbali with their keyz...pliz help
Ndugu yangu MKimbizwambio!!!
Nina msaidia mdogo wangu ameibiwa vyeti vyake kuanzia original mpaka copy of original sasa amechanganya index number namba yake, si unajua wadogo zetu tena!!!!!
Alipoenda polisi kureport akaulizwa index number hapo ndio ikawa shughuli. Hivyo natafuta ili niweze...
jamani ndugu zangu nina shida kweli na matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2003 na 2006, hususani ya Morogoro Sekondari mwak 2003 na Kigurunyembe Teachers college private candidates mwaka 2006
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.