Ngeleja usituone sisi watoto,wewe ndio wakupuzwa.mkigoma kujiuzulu tuta taka r-o-o zenu siku moja,kama naibu wako ana smg na bastola,wewe siunayo rpg na ak47,na iyo yote niuogatu mjua fika kua wavuja jasho wamechoka.
Abari zakuaminika toka mtoa abari wangu,kwamba aijafaamika bado kua MUESHIMIWA KOMBA amefuata nini kwa mbunge wa Monduli,MUESHIMIWA KOMBA ameonekana akiwa na usafiri wa gari aina ya Costa,akiwa yeye na derevatu,akiulizia kwa mbunge wa monduli.makamanda mlio neru tuwe makini na uyu mtu pia abari...
Eduwadi asimikwe kua asikofu mkuu wa makanisa yoto ya tanzani sababu akuna askofu anae subutu kunyenyua mdomo juu yake.amekua akitoa pesa alie ibia wavuja jasho makanisani na madrii na wachungaji wakua wakipokea,bila kumwambia lelote,pia wata tumika kumchagua mtu wasie mpenda kwakuhongwa pesa...
Nipo nawazo moja,watanzania tuonyeshe kuchoka kwa vitendo,kama watu Monduli hua wanapikiwa wali kwa mbunge wao kila tare moja mwezi wa kwanza,ili kuonyesha mmechoka ukiletewa wali unapiga teke.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.