Nadhani hamkunijibu TROPICAL n MPUI,na badala yake n kashfa dhid ya Pr.Abdallah unaposema yeye n mbebaji wa mabeg ya mabosi,na ukumbuke Abdallah ni Prof.na n mtu mwenye uwelewa mkubwa hvyo usimgeuze kama TOY kwa jinsi TROPICAL uwezo wako wakufikir ulipofikia,,wanajamv mwenye kuelewa achangie na...
Wana jamv kwanza nawasalim aman ya mungu wetu iwe juu yenu,hivi Pr.Abdallah mbona kama kitambo sikumsikia mwenye habari kuhusu yeye na nafasi aliyonayo ndani ya CDM naomba an fafanunulie n sehem ya kujua pia usichokijua JF
Mr.kituko naomba nkurekebshe AMRI KUMI ALIZOPEWA MUSA ZILIKUWA katika lugha ya kiarabu na sio kwamba zilikuwa zna ufanano na lugha ya kiarabu coz MUSA Mwenyewe lugha mama yake ni kiarabu na ndiyo aliyokua aki itumia,,na MISRI NI NCHI inayotumia lugat arabia na pia nchi hiyo ipo ndani ya MIDDLE...
Sasa tunahukumiwa hakim akiamua au ijapokuwa sifagilii milegezo,na vp kuhusu wanaovaa heren huku wakiwa ni wanaume nao pia wanakiuka coz nanukuu huyo akim"huu sio utamaduni wa mwafrika"je na huu wa kuva heren n utamadun wa mwafrika la msingi kama kuna mdau mwenye kifungu cha sheria...
Wadau mbna kama jazba,hapa haiongelewi OJ KOMED anaongelewa JOTI N MPOKI.hebu tutoe coment za mana kimpango huo hatutamaansha kuwa ss n GREET THINKERS,,mnyonge mnyongen hak yake mpeni n matumain yangu mmesha wanyonga vya kutosha sasa haki zao wapeni
Romantic uko sahihi Joseph jina lake halisi ni Adrien Christopher Kanambe,wana tusome historia vzur,na baada ya Baba wa JOSEPH kupoteza maisha ndipo Laurent Kabila akamchukua Adrien na Mdogo wake wa kike ambapo waliish msasani Dar kabla ya kuelekea CONGO Hivyo JOSE n MTUTSI anaetawala CONGO na...
Wana jamvi msaada,leo asubuhi na amka macho yamevmba nakua mekundu yakiwasha na kutoa machoz'na kuna tetesi kwamba mimi sio wa kwanza hata pia jiran yetu nae wiki ilopita alikua na tatizo kama langu ila hakwenda hospital bali aliosha kwa kutumia sabun na baada ya siku tano jicho lake likakoma...
Majira ya saa kumi jion katika michakato mizima ya kupambana na maisha magumu yaliyo sababishwa na serikali iliopo madarakani,,nika ahairisha shughuli zangu za kiuchumi'na nikahudhuria katika mkutano wa hadhara wa MH. JOHN MNYIKA katika maeneo ya Kimara mwisho jana,akiwa akiulizwa masaala...
Wana JF Mi kwa mtazamo napendekeza ktk chama che2 CDM 2015 2msimamishe ZITTO ZUBER KABWE ktk knyang'anyiro cha MR.PRESIDENT cna maana kwamba Mh dkt.SLAA hafai,,ila ni mtazamo tuu....
mara kwa mara huwa lugha yetu adhim inatumika vibaya,kwa waliomstar wa mbele kuchangia hilo ni wahusika wa vyombo vya habari yaani watangazaji na si wao tu hata sisi wananchi bado hatuna utumizi mzur wa lugha hii,kwa mfano kurudi nyuma kwa gar wanaita kupiga CHANYORO,ijapokua sio rasmi kwa...
2likua hapo leo 2kihakksha mshkamano thabt,mzizi dawa pia alitoa chachu yake kuhuxu jmbo la Monduli,hawana jpya wana ccm wakajpake poda xaxa...wao wakat umewadia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.