Mimi niitwa ilikuwa ni sales executive kama mwezi ulopita may be ni kutokana na njia ulotumia kuomba koz lazima utumie electronic email na siyo barua za posta
:A S-fire1:matajiri wetu tz ni kama moto kwa wananchi wenzao kwanza ni wagumu kujitoa ktk maisha wa masikini wa kila siku yote ni sababu tuh mali walizo nazo si HALALI
Mh 6L kupata hp brand new mmh sijui aisee may be kwa specification za intel pentium na ram ya kawaida tuh but kama ni core i3,5 or 7 ni kuanzia laki 7 hivi
Amani ya Bwana iwe nanyi wadau,
Kwanza kabisa napenda kuanza kutoa pole kwa wale wote walioguswa na kifo na ndugu Alphonce Mawazo. Kifo chochote sio jambo la kawaida kwa hiyo hata iweje lazima pole itolewe hasa kwa wale walioguswa kwa dhati na kifo hiki.
Nikiwa natafakari kifo hiki kumekuwa na...
mbona mimi katika profile yangu selected by tcu YES ila selected by an institution/university ;waiting for approval hii inamaanisha nini na niliomba bachelor in medical laboratory science in clinical chemistry
Hapo ni kubadili mfumo mzma wa serkali ndio solution kubwa kwa wanavyuo wa baadae.....lakini nimesikia kuna form za kujaza ili kusaidia wale waliopo mbali na sehemu walipo andksha.....mmmmh huuuu mfumo mi nkajua utakua mo advanced....
Ktu roho inapenda no mo commentx.....he z ze man of maneno machache but alot of dids.....hajawai msema mtu kwa baya jukwaan ...mti wenye matunda........
Tuseme ukwel cmpingi mpnga magufuli ni mtendaj mzur tuuu lakini ndugu zangu chama alichopo cyoooo ndo maana namtaka lowasa...huu ndo msimamo wang cjamsemea mtu.....masonic au cyo masonic nmemkubali.
U remain wth ua stupidity kwasababab napenda basng on my own knowledge and wat i blv mr.chin...baki wth ua static mynd...u wl never change any1in here.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.