Hakuna kitu kibaya kwa mwanaume kama kumwagiwa vimaji vile vinavyowafurahisha wa jinsia ya pili sasa nashangaa kwenye umati ule kumpa uongozi mtu ambae ameshavuliwa ubingwa na matokeo yake anajua mwenyewe anavyoongoza
Na wao wamejaa wengi huku kuanzia walimu, mpaka wafanyakazi wa majumbani na wengi wao wana mpaka vitambulisho vya Taifa na vya kupigia kura na ninao ninaowajua
Inawezekana ulikirimiwa na kupata malezi ya kiungwana na ukawa na chuki ndani ya moyo kwa waislamu na ukweli unadhihiri unapojenga na kujibu hoja kwa kujificha kwenye kivuli cha hayo unayoyasema
Ndio mana nikakwambia acha wivu wa kike, humjui Dr hiyo namba nyingine, Hiyo misikiti mnaisema nyie wagala kwani hajawahi kusema anachokitoa hata akimpa mtu mkononi. Sogea Pan afrika angalau upate mawili kwa faida ya mandigiri kama wewe
Ni vema utuambie mwema ni nani? Hitler au George Bush na waamerika wenzie wanaouwa mpaka watoto wadogo huko bara Arabu? Dini yako dini gani? Nadhani nawe ni miongoni mwa wale mnaotembelewa na mwarabu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.