Pole sana,endelea kuogopa hivyohivyo,kwakuwa unaendelea kuishi hiyo ni neema Mungu amaeachilia kwako, hivyo inakupasa kumcha yeye usiku na mchana maana shetani hata kuacha salama,usipoangalia unaweza kujikuta na wewe unawafuata kwa mtindo uleule...
Uchangiaji huu ndio uchangiaji wa wengi,lkn watu wanachoshindwa kuelewa ni kuwa ukiwa na mwenzi wako na hamuelewani,swala la kuua sio kitu cha kupanga,ni tukio la ghafla ambapo mtu anapandisha jazba,na hasira ndio inayomsukuma aue,ndio maana baada ya yale mauaji mtu huanza kujuta na hata...
Uko sahihi,watu wengi ambao niliwafahamu walikuwa wanaondoka kila kukicha,bahati mbaya mtu wangu wa karibu naye alipata,ilikuwa ni kipindi kigumu sana,hofu ilitawala,matumaini ya kuiona kesho yalikuwa yametoweka,ni neema ya Mungu tu tulisalimika...
Kwahiyo ulivyomuona mwenyewe na ma makeup yake,nywele za bandia, miperfume ya gharama plus mipoz ukajua hajambi,ukiona hivyo kashakuzoea,kaona kisa cha kijifia wacha umjue tu na yeye ni binadamu kama wengine...
Sema na Mungu kuhusu mtoto wako atakujibu tu,na kama unaishi uswahilini kuna mambo mengi sana ya hovyo inawezekana ni kweli wamemchezea,mtoto ni kitu very special kwa binadamu,pata ushauri wa kitabibu lakini katika kila jambo mshirikishe Mungu.Ukishaamua kuzaa maisha mengine ya hovyo hovyo...
Hili bwawa la Nyerere ni bwawa la maono,nchi ilifikia mahali ni lazima iwe na bwawa kama lile,kinyume cha hapo hali ingekuwa mbaya sana,hata hivyo hatuko pabaya 2500 MW ni nyingi sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.