Hii vita ni ya kila mtanzania mwenye uchungu na nchi yake,ni heri ya vita inayotafuta haki na utu wa mwanadamu kuliko unyanyasaji wa Chama legelege cha CCM wanavyofanya kwa wananchi walio katika ardhi yao,Mungu mkubwa sisi tunaodai haki ya kweli tuna Mungu anayetupigania wao CCM...
Ana magorofa yake hapa Iringa mjini,vilevile anashirikiana biashara na mfanyabiashara maharufu mwarabu ambaye ameoa mtoto wake bwana Asasi,hakika Kikwete ana utajiri mkubwa sana hapa mjini Iringa mjini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.