watu tumechoka ngonjera na mipasho yake..maana ukitaka siku yako iharibike basi sikiliza riwaya za kikwere..mimi hua nikiangaliaga hua najibizana nazo na matusi na masonyo juu..shenzi
Na kingine walicho kasirika ni kitendo cha ziara ya makamo wa rais hivi karibuni na kulazimishwa wanahabari 8 wakike na wakiume walale ndani ya gari moja toyota cresta..
Mabenki na taasisi nyingi za fedha na za kimataifa huwa hawaajiri direct..wanatumia recruiting agencies..cha msingi ni yeye kuweza kutuma CV yake kwa agency mbali mbali kama Erolink, Proffesional Approach etc..hilo ndio litakalo mtoa kutoka kijiweni..otherwise itaendelea kula kwake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.