Japo mimi ni mgeni humu jamvini, naomba tu niseme toka moyoni kuwa nimepata shaka juu ya upeo wa ndugu William Malecela. Mwenzio ana-argue kwa hoja, lakini wewe kila ukijibu unaibuka na "chuki binafsi". What's chuki binafsi? Ndo hayahaya watu wana-argue kwa hoja, mtu anasema "udini". I think we...
Mimi nadhani serikali inapaswa kuilea bodi ya mikopo kwa kiasi kikubwa kwanza kabla haijaweza kusimama yenyewe. Ninachoona hapa ni kwamba huenda imefika sehemu ikaachiwa mzigo kama ilivyo kwa TEMESA na vivuko vya Kigamboni n.k. Wanabaki kutapatapa sasa wapate wapi hela.
Kwa ufupi, la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.