Katika nchi yenye serikali ambayo inawajibika kwa wananchi wake haiwezi fanya makosa ya aina moja kila siku.Yaani nimeandika habari hii kutokana na mateso wanayopata wanafunzi wa vyuo kutokana na kucheleweshwa kwa pesa ya kujikimu.mfano mzuri ni chuo kikuu cha ST. Augustine cha Mwanza leo ni...
Naitwa Florence B. Ndibalema wa chuo kikuu cha Dar es Salaam natafuta sehemu ya kufanyia field yangu mnamo mwezi wa sita tar 25 hadi mwezi wa nane tar 17 hivyo kwa yeyote mwenye msaada wa kunipa hasa katika television stations and radio maana nasoma B.A in Fine and Performing Arts(THEATRE,TV...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.